I wapi na inashugulika na nini? CM ni vyema ungewaweka wadau wazi katika hili kwani mpaka wanamuulizia ujue wana haja naye kikweli hivyo kwa kuongeza taarifa twaweza kumtembelea ati.fina mango anajishughulisha na kampuni yake binafsi!
huyu alikuwa Mtangazaji wa Clouds FM kipindi cha Power Breakfast asubuhi. with Masoud KP. kipindi kilikuwa safi sana hiki.
yupo wapi Fina Mango kwa sasa wadau??
Who Cares?What if Fina Amefulia?
What if Fina Amefulia?
Nadhani anajihusisha na mambo ya THT.
Ana company yake binafsi dealind with Event Organising na PA
What if Fina Amefulia?
Wewe una interest?Uzembe wake kwani mapapaaaaa wote mujini hakuna mwenye interest??