Aisee Blaki Womani msitumalizie watu kwenye Siasa bana. Shauri yenu nchi itatekwa hamna habari, mnaendelea kupeana LIKE na kutumiana PM za kukutana Country-Coffer kupeana Sparletta.
...yani huku raha mustarehe.
Unapigwa nyayoni,maumivu mpaka utosini.
Chezea Mademu wa ChitChat wewe!!?
marejesho anasaidia kuikuzaMbaya zaidi ndoa yake bado ni changa sana... hata keki ya Cherekochereko yake bado hatujagawana.
Hubby nakuhakikishia hakuna mwengine wa kunimiliki mtoto mzuri mimi zaidi yako.
....hebu njoo kwanza unikumbatie...wenye macho waumie...peke yao walie...acha nitulie mie..!!!
You will p'se come this way
Mnatumia Limbwata gani nyie binadamu?,.,. ni ile ya Tanga au Mbulu?
Au mnawezeshana KITU CHA ARUSHA!
Huyu mwenzangu na mimi huyu.
Broda usiweke siasa huku., hawataki.
Hubby nakuhakikishia hakuna mwengine wa kunimiliki mtoto mzuri mimi zaidi yako.
....hebu njoo kwanza unikumbatie...wenye macho waumie...peke yao walie...acha nitulie mie..!!!
Si unaona na wewe umeanza kukolea taratiiibu mkuu PakaJimmy, na hapo kesho ukiingia tu JF stand ya kwanza huku jamvini, uzuri wa huku ni kuwa tofauti na kule kwenye jukwaa la stress.
i. Huku hutaskia kelele za vyama kama ilivyo kule,
ii. Huku hutaskia kauli za kibaguzi kwa misingi ya dini.
iii.Huku unaweza hata kum kiss Madame B afu ruttashoborwa akakugongea like. yaani huku ni full shangwe