Posho City
JF-Expert Member
- Mar 15, 2012
- 646
- 415
Mimi ni mtumishi mwalimu katika halmashauri x Niliondoka kazini bila ruhusa na mwezi uliopita nilirudi kituoni na nkamwandikia barua mkurugenzi kumuomba anirudishe kwenye payroll maana nshafutwa tangu Sept. 2013.
Afisa elimu yeye alipendekeza nifukuzwe kazi ila mkurugenzi aliwaomba TSD ndo watoe uamuzi wa suala langu. TSD waliamua kesi na kuamuru nirudishwe payrole kwa sababu licha ya kutokuwa kazini muda mrefu mwajiri hakuwahi kunionya au hata kunituhumu kwa utoro, then wakapeleka mapendekezo kwa DED.
Cha ajabu file linaonekana kwa DED limetoka baada ya kufanyiwa kazi na likaelekea kwa DEO lakini masjala ya DEO halijapita na kwa DEO halipo na nimelitafuta leo siku ya pili halmashauri nzima hakuna.
Wameniambia niwe mvumilivu hadi jumatatu ili walitafute kwa utulivu.
Je likiendelea kutoonekana nichukue hatua gani?
Afisa elimu yeye alipendekeza nifukuzwe kazi ila mkurugenzi aliwaomba TSD ndo watoe uamuzi wa suala langu. TSD waliamua kesi na kuamuru nirudishwe payrole kwa sababu licha ya kutokuwa kazini muda mrefu mwajiri hakuwahi kunionya au hata kunituhumu kwa utoro, then wakapeleka mapendekezo kwa DED.
Cha ajabu file linaonekana kwa DED limetoka baada ya kufanyiwa kazi na likaelekea kwa DEO lakini masjala ya DEO halijapita na kwa DEO halipo na nimelitafuta leo siku ya pili halmashauri nzima hakuna.
Wameniambia niwe mvumilivu hadi jumatatu ili walitafute kwa utulivu.
Je likiendelea kutoonekana nichukue hatua gani?