Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 734
MKURUGENZI Pili Pili Entertainment (katikati) Sameer Srivastava akiwa na staa wa muvi hiyo Kanumba.
Mbali ya Kanumba pia kulikuwepo na nyota wengine walioinogesha filamu hiyo vyema kama vile Aunt Ezekiel,Monalisa,Yusuph Mlela na wengineo.Uzinduzi wa filamu hiyo uliandaliwa na kampuni ya Pili Pili Entertainment na kuhudhuriwa na wageni waalikwa mbalimbali.
Mapicha ya tukio hilo kama ifuatavyo....
MY TAKE: Bongowood inazidi kukuwa na huu ni mwanzo tu maana sasa tutakuwa na movie za ukweli, premier za uhakika katika jumba la ukweli la New World Cinema...