Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,564
- 7,973
Mkuu wangu, kama hujapata picha ni kwamba, Tume hyo inakazi maalumu kuonyesha uhusika wa CDM katika "mauaji" hayo, ili itoe mapendekezo yake na hatimaye ndoto za Tendwa na wanaomtuma zitekelezwe na baadae waje kutunga hyo sheria ya kubana shughuli za siasa katika mda usio wa uchaguzi....
Kazi za shetani hufanyakazi kwa uwazi sana huku wao wakidhani ni siri mno.
Kama huo ndio mpango wao basi wamechemsha kabla ya utekelezaji wa mpango huo.
Pressure imekuwa kubwa kwa serikali hadi inaamua kujichanganya, kitendo cha kumshitaki muuaji tayari ni ushahidi tosha kwamba wahusika wakuu wa vurugu pamoja na mauaji ni jeshi la polisin likishirikiana na ccm na serikali yake.