Uncle Jei Jei
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 1,684
- 2,157
Ndugu zangu, mliowengi mtakuwa mliisikia kauli ya Spika wa bunge kuhusu kuwaamini wenye vyeti vyenye GPA nzuri za first class kwamba ndio "pekee" wanatakiwa kuaminiwa na serikali na kutumwa kwenye "negosiesheni" panakuwepo na majadiliano yanayohusu maslahi ya Taifa lake.
Hakika sipingani na mawazo yake ila namkumbusha tu kwamba cheti pekee sio kipimo halisi cha kupima uwezo binafsi wa mtu kwenye kujadili hoja yoyote
Leo pia nimeona post inayomzungumzia Dr. Mwakyembe akisema yeye ana digrii nne hivyo haiingii akilini mtu kama huyo akosolewe na msanii tu ambaye hana hizo shahada nne.
Naomba tusaidiane hili swali, hivi ni kweli asiyemsomi hawezi kumkosoa msomi?
Ni kweli wasomi wanafahamu kila kitu kiasi cha kutokosolewa na hawa wasiokuwa wasomi wa ngazi za juu?
Hakika sipingani na mawazo yake ila namkumbusha tu kwamba cheti pekee sio kipimo halisi cha kupima uwezo binafsi wa mtu kwenye kujadili hoja yoyote
Leo pia nimeona post inayomzungumzia Dr. Mwakyembe akisema yeye ana digrii nne hivyo haiingii akilini mtu kama huyo akosolewe na msanii tu ambaye hana hizo shahada nne.
Naomba tusaidiane hili swali, hivi ni kweli asiyemsomi hawezi kumkosoa msomi?
Ni kweli wasomi wanafahamu kila kitu kiasi cha kutokosolewa na hawa wasiokuwa wasomi wa ngazi za juu?