Njopino
JF-Expert Member
- Apr 8, 2014
- 3,470
- 5,050
Huko ni kujitekenya tu, unawapa rudhuku wanakupa dividend hapo hapo wanakuomba mtaji. Hayo ni mawazo mgando waache makampuni yajiendeshe kibiashara.pombe anaamini mashirika yote na taasisi zote binafsi na kibiashara zikifa ni faida kwa taasisi za serikali maana zitakosa mpinzani..
kkkk
bado serikali inahitaji wawekezaji na kodi !
TANESCO lini kutoa dividend ?