JUMA BOAZ MWAIPAJA
New Member
- Dec 2, 2017
- 4
- 2
Najua wengi mnakiu na matamanio ya kuiona jumuiya hii ya vijana inakuwa jeuri ya chama chetu na kimbilio la vijana nchi nzima hata kufikia hatua ya kuitwa UMOJA WA VIJANA TANZANIA....
Inawezekana naomba unifuatilie kuanzia wiki ya kesho nitaanza kueleza vijana wenzangu nini mtazamo wangu katika kutimiza shabaha na madhumuni ya kuanzishwa kwa jumuiya hii kwa mujibu wa kanuni yake na mpango kazi wake wa 2017-2022.
[HASHTAG]#VijanaNguvuMoja[/HASHTAG]
Inawezekana naomba unifuatilie kuanzia wiki ya kesho nitaanza kueleza vijana wenzangu nini mtazamo wangu katika kutimiza shabaha na madhumuni ya kuanzishwa kwa jumuiya hii kwa mujibu wa kanuni yake na mpango kazi wake wa 2017-2022.
[HASHTAG]#VijanaNguvuMoja[/HASHTAG]