Figure and Fact za Mh Muhongo na watz tulivyomkubali kirahis

deecharity

JF-Expert Member
Nov 5, 2010
931
503
sijaamin na bado siamin kama jana kwenye mdahalo wa maliasil zetu pale udsm mh. muhongo kaweza kucheza na akili zetu kwa kutumia slides tu.. na palepale wahudhuriaj weng wakabadiri msimamo kwa kumsifia tena, mbaya zaid wakafika mbali eti anafanya kaz kwa figure n fact hv ni kweli zile slides zinatufanya kuamin ndio fact? nilitegemea kama ni fact bas ingeanzia kwenye kauli yake juu ya mgao wa umeme kuwa ndoto ila pale pale alipo ukakatika kama mara 3, ila kitu cha kushangaza tumeonywesha slides tu pale na maneno ya majungu mengi sana akil zetu zikahamia kumsifia na kusahau hata mgao wa umeme na bado tunasema tupo kupigania maliasil ya nchi yetu.. mi naweza mpa sifa prof muhongo kwa kuweza kudanganya umati wote ule kwa kutumia slide na watu wakatoka wanamsifia sana.. watu wamesahau maumivu ya wawekezaji hapa nchni, mgao wa umeme, kwa ushawish wa slide za computer tu tena kwa mudavwa nusu saa ambao muhongo alitumia kuwashawish.. najua si wote walimuamin ila nilishangaa kuona umati kama ule umedanganywa kwa slide tu na imenifanya kuamin watz bado tunakaz ya ziada kuelimishana... haya tusubiri slide zetu zitutatulie matatzo sasa.
 
hata slides hazikuwa na ubora tukianzia hapo..halafu zile squire metres ukizijumlisha na dar es salaam zake hatun ahilo eneo la bahari kwa level ya Mtwara pekee.
 
sijaamin na bado siamin kama jana kwenye mdahalo wa maliasil zetu pale udsm mh. muhongo kaweza kucheza na akili zetu kwa kutumia slides tu.. na palepale wahudhuriaj weng wakabadiri msimamo kwa kumsifia tena, mbaya zaid wakafika mbali eti anafanya kaz kwa figure n fact hv ni kweli zile slides zinatufanya kuamin ndio fact? nilitegemea kama ni fact bas ingeanzia kwenye kauli yake juu ya mgao wa umeme kuwa ndoto ila pale pale alipo ukakatika kama mara 3, ila kitu cha kushangaza tumeonywesha slides tu pale na maneno ya majungu mengi sana akil zetu zikahamia kumsifia na kusahau hata mgao wa umeme na bado tunasema tupo kupigania maliasil ya nchi yetu.. mi naweza mpa sifa prof muhongo kwa kuweza kudanganya umati wote ule kwa kutumia slide na watu wakatoka wanamsifia sana.. watu wamesahau maumivu ya wawekezaji hapa nchni, mgao wa umeme, kwa ushawish wa slide za computer tu tena kwa mudavwa nusu saa ambao muhongo alitumia kuwashawish.. najua si wote walimuamin ila nilishangaa kuona umati kama ule umedanganywa kwa slide tu na imenifanya kuamin watz bado tunakaz ya ziada kuelimishana... haya tusubiri slide zetu zitutatulie matatzo sasa.

Hivi hujui 'wasomi' wetu wana udssm syndrome?ukitaka kuwapata wasomi wa tanzania we waambie tu figure mf mfumko wa bei umeshuka hadi 6 % mwezi huu-watakuona msomi mwenzao hata kama bei ya mchele imepanda.Au ukawaambia tu kuwa kufikia nov.mwaka huu serikali imetengeneza ajira mil.5 kwa muda wa mwaka mmoja-watakubali tu hata kama vijana wanaranda mitaani bila kazi!Au hata wakisema udsm ni cha 6 kwa ubora Afrika itawaingia tu akilini ingawa tunaagiza hadi toothpicks china.Unajua' jambo la kipuuzi likisemwa kwa lugha ya kiingereza mswahili ataliona la maana kweli'-mwl JK Nyerere

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
sijaamin na bado siamin kama jana kwenye mdahalo wa maliasil zetu pale udsm mh. muhongo kaweza kucheza na akili zetu kwa kutumia slides tu.. na palepale wahudhuriaj weng wakabadiri msimamo kwa kumsifia tena, mbaya zaid wakafika mbali eti anafanya kaz kwa figure n fact hv ni kweli zile slides zinatufanya kuamin ndio fact? nilitegemea kama ni fact bas ingeanzia kwenye kauli yake juu ya mgao wa umeme kuwa ndoto ila pale pale alipo ukakatika kama mara 3, ila kitu cha kushangaza tumeonywesha slides tu pale na maneno ya majungu mengi sana akil zetu zikahamia kumsifia na kusahau hata mgao wa umeme na bado tunasema tupo kupigania maliasil ya nchi yetu.. mi naweza mpa sifa prof muhongo kwa kuweza kudanganya umati wote ule kwa kutumia slide na watu wakatoka wanamsifia sana.. watu wamesahau maumivu ya wawekezaji hapa nchni, mgao wa umeme, kwa ushawish wa slide za computer tu tena kwa mudavwa nusu saa ambao muhongo alitumia kuwashawish.. najua si wote walimuamin ila nilishangaa kuona umati kama ule umedanganywa kwa slide tu na imenifanya kuamin watz bado tunakaz ya ziada kuelimishana... haya tusubiri slide zetu zitutatulie matatzo sasa.

Stop whining if you have your facts the forum is open. Hii inamaanisha kwamba hata hao mnaowaona wako makini hawana umakini wowote...
 
TOP TEN LOCAL COMPANIES INVESTING IN MINERALS SECTOR TANZANIA:

1. Mr Alhussein Juma Dhanani (19 companies)
♦Size of the licensed area: 25, 589.02 sq. km.
♦% of area under licenses (out of 239,699 sq.km): 10.7%
♦% of total land area (out of 881,000 sq.km): 2.9%

2. Mr. Hassan Ahmed Abdulbari (10 companies)
♦Size of the licensed area: 14,238.84 sq. km.
♦% of area under licenses (out of 239,699 sq.km): 5.9%
♦% of total land area (out of 881,000 sq.km): 1.6%

3. Mr Reginald Mengi (5 companies)
♦Size of the licensed area: 3,836.18 sq. km.
♦% of area under licenses (out of 239,699 sq.km): 1.6%
♦% of total land area (out of 881,000 sq.km): 0.4%

4. Mr. Connie Mashele (1 company)
♦Size of the licensed area: 2,426.54 sq. km.
♦% of area under licenses (out of 239,699 sq.km): 1.0%
♦% of total land area (out of 881,000 sq.km): 0.3%

5. Mr David T Kalenuik (2 companies)
♦Size of the licensed area: 2,283.21 sq. km.
♦% of area under licenses (out of 239,699 sq.km): 1.0%
♦% of total land area (out of 881,000 sq.km): 0.3%

6. Mr. Tito John Kanyamala (1 company)
♦Size of the licensed area: 1,794.9 sq. km.
♦% of area under licenses (out of 239,699 sq.km):0.7%
♦% of total land area (out of 881,000 sq.km): 0.2%
 
Mimi nilishangazwa sana na michango ya wanafunzi wa udsm walikuwa very low sikuona changamoto yoyote walotoa kwa waziri kudhihirisha pale ni pa wasomi

Wale maprofesa ndo kabisa mmoja hata kuongea ilikuwa shida, data walizotoa nikama aibu hawakujiandaa ipasavyo matokeo yake kuharibu muda mwingi kwa hoja dhaifu kulinganisha na elimu zao

Ukweli watanzania tumefulia
 
hivi hujui 'wasomi' wetu wana udssm syndrome?ukitaka kuwapata wasomi wa tanzania we waambie tu figure mf mfumko wa bei umeshuka hadi 6 % mwezi huu-watakuona msomi mwenzao hata kama bei ya mchele imepanda.au ukawaambia tu kuwa kufikia nov.mwaka huu serikali imetengeneza ajira mil.5 kwa muda wa mwaka mmoja-watakubali tu hata kama vijana wanaranda mitaani bila kazi!au hata wakisema udsm ni cha 6 kwa ubora afrika itawaingia tu akilini ingawa tunaagiza hadi toothpicks china.unajua' jambo la kipuuzi likisemwa kwa lugha ya kiingereza mswahili ataliona la maana kweli'-mwl jk nyerere

sent from my blackberry 9220 using jamiiforums

hiyo quotation ya nyerere. Nimeshindwa kukupa like kwa kua natumia tecno.
 
Tatizo letu hatuaminiani tena. Unataka apige porojo tu bila kuwa na data, chakushangaza ulikuwepo ukumbini, ukamsikiliza ukakubaliana nae na wengine zaidi na zaidi. Leo hii unaibuka na kuanza kumkosoa, kwa nini hukumuomba angalau muda tu umuulize japo swali moja!!!!!!?. Mimi sikuwepo, sasa unataka tukusaidije.
 
sasa wewe ulitaka atumie nini?

kwa hiyo wewe unaona ule ndio uhalisia wa utendaji wake katika wizara na itasaidia kutuletea postv result? na alichokifanya pale ndivyo afanyavyo katika utendaji wake ndio mana hakuna kinachoendelea kila siku tupo pale pale nani alikwambia fact ya utendaji inaweza onyeshwa kwa slide za power point? alichokifanya pale ni presentation tena slide zenyewe sijui kaandaliwa na mwanae mdogo mana ni mbaya.
 
Tatizo letu hatuaminiani tena. Unataka apige porojo tu bila kuwa na data, chakushangaza ulikuwepo ukumbini, ukamsikiliza ukakubaliana nae na wengine zaidi na zaidi. Leo hii unaibuka na kuanza kumkosoa, kwa nini hukumuomba angalau muda tu umuulize japo swali moja!!!!!!?. Mimi sikuwepo, sasa unataka tukusaidije.

we uliona hali halisi haikuwa rahis kupata nafas yakumuuliza swali yeye alikua wamwisho kuongea na mjadala ukaishia hapo.. unauhakika nilikubaliana nae?
 
we uliona hali halisi haikuwa rahis kupata nafas yakumuuliza swali yeye alikua wamwisho kuongea na mjadala ukaishia hapo.. unauhakika nilikubaliana nae?

Wewe utakuwa na matatizo ambayo hatuwezi kukusaidia. Nilivyochangia nilisema kabisa sikuwepo harafu unasema "niliona hali halisi"!!!!. Heading yako inakusuta kuwa ulikubali alichosema labda kama wewe siyo mtanzania.
 
hata slides hazikuwa na ubora tukianzia hapo..halafu zile squire metres ukizijumlisha na dar es salaam zake hatun ahilo eneo la bahari kwa level ya Mtwara pekee.

Unarudia kufanya makosa yale yale ya kuwa na papara. Shusha pumzi, soma ulichoandika, ukikuta makosa edit kabla ya ku-post. Na unaweza edit hata baada ya ku-post, una haraka za kukimbilia wapi? au huwa unaandika ukiwa ndani ya daladala?
 
TOP TEN LOCAL COMPANIES INVESTING IN MINERALS SECTOR TANZANIA:

1. Mr Alhussein Juma Dhanani (19 companies)
♦Size of the licensed area: 25, 589.02 sq. km.
♦% of area under licenses (out of 239,699 sq.km): 10.7%
♦% of total land area (out of 881,000 sq.km): 2.9%

2. Mr. Hassan Ahmed Abdulbari (10 companies)
♦Size of the licensed area: 14,238.84 sq. km.
♦% of area under licenses (out of 239,699 sq.km): 5.9%
♦% of total land area (out of 881,000 sq.km): 1.6%

3. Mr Reginald Mengi (5 companies)
♦Size of the licensed area: 3,836.18 sq. km.
♦% of area under licenses (out of 239,699 sq.km): 1.6%
♦% of total land area (out of 881,000 sq.km): 0.4%

4. Mr. Connie Mashele (1 company)
♦Size of the licensed area: 2,426.54 sq. km.
♦% of area under licenses (out of 239,699 sq.km): 1.0%
♦% of total land area (out of 881,000 sq.km): 0.3%

5. Mr David T Kalenuik (2 companies)
♦Size of the licensed area: 2,283.21 sq. km.
♦% of area under licenses (out of 239,699 sq.km): 1.0%
♦% of total land area (out of 881,000 sq.km): 0.3%

6. Mr. Tito John Kanyamala (1 company)
♦Size of the licensed area: 1,794.9 sq. km.
♦% of area under licenses (out of 239,699 sq.km):0.7%
♦% of total land area (out of 881,000 sq.km): 0.2%

Sooo WHAT??
 
Wewe nimchumia tumbo usiyejijua JK akimaliza muda wake na wewe umeisha.
Sos jana kaongea utumbo ambao haJijui.
Jana ndiyo kaja kuongelea hayo mambo ya gesi, umeshajiuliza muda wote alikuwa wapi asitoe taarifa hizi za FACT n' FIGURES ktk mambo nyeti kama haya mpaka jana aje ayatoe kwenye Kongamano la kujadili maliasili ya Taifa??
Jana huyo Sospeter Muongo anasema kwamba hapa ni mambo ya hela TU, akataja figure zake za dola, hivi yeye ndiyo mchambuzi wa masuala ya statistics za fedha zinazohitajika hapo kwenye huo mradi??
Nasema hivyo kwasababu jana kasema watanzania wanaohitaji sijui more vitalu waje Kesho jumanne wakalipie, haya ni mambo ya pesa TU hakuna mkopo hapa.
Kwa figure alizoongea jana za dola mpaka milioni mia tano na kuendelea, hivi unaweza kupara taarifa jana then jumanne ukamalize mikataba yote na kulipia kama alivyosema Sos Muhongo???
Acheni utapeli wa mchana kweupe nyie.
Mengi amesema MTAJI WETU KAMA WATANZANIA NI HIYO RASILIMALI sasa tunataka nini tena??
Kama ni mkopo tunapata na tunafanya wenyewe hizo teknolojia tunaenda kujifunza tu.
DR. HANS KITINE aliongea ya ukweli jana ingawa mengi alishindwa kuongea.
 
Wewe nimchumia tumbo usiyejijua JK akimaliza muda wake na wewe umeisha.
Sos jana kaongea utumbo ambao haJijui.
Jana ndiyo kaja kuongelea hayo mambo ya gesi, umeshajiuliza muda wote alikuwa wapi asitoe taarifa hizi za FACT n' FIGURES ktk mambo nyeti kama haya mpaka jana aje ayatoe kwenye Kongamano la kujadili maliasili ya Taifa??
Jana huyo Sospeter Muongo anasema kwamba hapa ni mambo ya hela TU, akataja figure zake za dola, hivi yeye ndiyo mchambuzi wa masuala ya statistics za fedha zinazohitajika hapo kwenye huo mradi??
Nasema hivyo kwasababu jana kasema watanzania wanaohitaji sijui more vitalu waje Kesho jumanne wakalipie, haya ni mambo ya pesa TU hakuna mkopo hapa.
Kwa figure alizoongea jana za dola mpaka milioni mia tano na kuendelea, hivi unaweza kupara taarifa jana then jumanne ukamalize mikataba yote na kulipia kama alivyosema Sos Muhongo???
Acheni utapeli wa mchana kweupe nyie.
Mengi amesema MTAJI WETU KAMA WATANZANIA NI HIYO RASILIMALI sasa tunataka nini tena??
Kama ni mkopo tunapata na tunafanya wenyewe hizo teknolojia tunaenda kujifunza tu.
DR. HANS KITINE aliongea ya ukweli jana ingawa mengi alishindwa kuongea.

wengine tuliishia kwa Mnyika, umeme ulikatika! tulikosa mengi sana.
 
Back
Top Bottom