Figisu Figisu CECAFA: Zanzibar Heroes wahofiwa kutumia madawa ya kusisimua misuli!

Yawezekana kweli iweje wala urojo wawe na pace kiasi kile?
Laanatullah ..... yaaani ndivyo mlivyoaminishwa hivyo na wale wanaokudanganyeni.
Unapaswa kujifunza katika huo unaouita urojo mna lishe mchanganyiko ambayo inavirutubisho stahiki kupatikana mwilini na sio kama nyinyi mnaokula misembe ilikwisha kobolewa na kujishindilia mikapi na hatimae kufanya vitambi kike kiume.

Endelea na dharau zako............... ila mtafahamu, kuna siku mtakubali kwamba kwa soko zanzibar wako vyema
 
Hizo dawa zinaongeza uwezo wa kumiliki mpira, zinaongeza uwezo wa kucheza kama timu?
 
Acha uzanzibara wewe sisi ni damu moja, mi nataka nikuoe kwanza heshimu kwetu,
Lilopo lazima liongelewe kwa sasa adui mkubwa wa zanzibar kimaendeleo ni Tanganyika ktk nyanja tofauti michezo mnaweka mguu mafuta mumeweka mguu mambo ya nje ndio kabsa
Kama wanzanzibar nilazima tuyaongelee na hautozima et kwa kusema ni damu moja hoja ya kua dam moja haizuii kudai tunacho kihitaj
 
Lilopo lazima liongelewe kwa sasa adui mkubwa wa zanzibar kimaendeleo ni Tanganyika ktk nyanja tofauti michezo mnaweka mguu mafuta mumeweka mguu mambo ya nje ndio kabsa
Kama wanzanzibar nilazima tuyaongelee na hautozima et kwa kusema ni damu moja hoja ya kua dam moja haizuii kudai tunacho kihitaj
Adui yako ni wewe mwenyewe
 
Breaking news
Baada ya hapo jana cecafa kuitilia mashaka Zanzibar heroes kama wana tumia madawa ya kuongeza nguvu na kuwafanyia vipimo na waka gundua ni kweli wanatumia
Cecafa wamesema zanziba hero wana tumia dawa aina tatu nazo ni---
UROJO WA FORODHAN
BOFLO NA
UBUYU WA KIPONDA.....ONE LOVE ZANZIBAR HEROES
Kwa hiyo zanziberi wanatumia UBOULO
 
Nyie watanganyika acheni unaaa mjue zenji tuko vizuri badala ya kutusifia kama sehemu ya jamhuri ya tz Na nyie mnaleta unafiki, mpira maandalizi sio porojo kwani hamuoni saivi wazanzibar walivyoiteka ligi yenu ya VPL Na mnabahati FIFA hawajatupa membership tungewApigeni kilasiku
Nitajie watatu tu wanaoiteka ligi ya vpl!
 
Back
Top Bottom