donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,047
- 21,519
nimesikia wakuu kwamba 30th of this month ndo EA sports wata release hii game ambayo naskia itakua ni revolution katika game za mpira. naskia jamaa wamewafunika hadi Pes. je una mtazamo gani kuhusu hili? na je waki release itachukua mda gani adi ifike bongo? maana hunitoi kwa game za mpira.