Martin George
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,695
- 1,470
Fiesta fursa kuanzia sokoni leo inafikia tamati katika viwanja vya CCM mjini Mtwara baada ya matamasha hayo kufanyika katika mikoa yote ya Tanzania bara kasoro Dsm. Msemaji wa wadhamini wenza wa tamasha hilo ambao ni kampuni ya bia TBL amesema tamasha hilo limekuwa na mafanikio makubwa mwaka huu. Source Clouds Tv! My take; fiesta Dsm vepeee?!!!!