Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,227
- 113,580
kenya ulikuwa unakaa sehemu gani??
Makadara
kenya ulikuwa unakaa sehemu gani??
ahh basi sawa vene nimesikia uko unaongea lafudhi yaa kikenya niko nimehis utakuwa ulikaa kenya!!Makadara
Mkuu hiii ni noma kweli.. Ila Ruge anaweza kukodi viwanja, stage na majenereta yote siku hiyo
Wakuu. Taarifa za uhakika kutoka Jikoni.
Wakati Cloudsfm wakiendelea na msimu wa fiesta twen zetu mikoani kigoma, na tabora taarifa za kuaminika ni kwamba Jide Jay Dee amepata udhamini kutoka east africa redio, airtel na makampuni mengine matatu likiwemo moja la bia ili kufanya tamasha lake.
Taarifa zinadai hilo tamasha litapigwa same day na tamasha la fiiesta. Watakaohudhuria kwa jidejaydee ni pamoja na vinega, juma kassimu nature, jay moe, prof jay, grace matata, feza kessy atapiga na machozi, dani msimamo, roma mkatoliki, belle 9, na rama dee.
Hizi tetesi nimezipata kutoka kwa mdau wa east africa redio aambao nasikia pia watawaleta wale aligo..
Mwenye taarifa zaidi atupe. Mia
weweee!! Anakonda! ChezEA,, WALIBERALI WATAKOMAJE MWAKA HUU!!
Ingekuwa kinyume na hivyo inavyodaiwa mngesema Clouds ni wabaya kwa sababu wanataka kumharibia biashara huyo kibibi.
Lakini kwa vile sivyo mnashangilia. Mko wajinga sana nyinyi.
kenya ulikuwa unakaa sehemu gani??
Nyani ngabu bwana yaani naanza kukupendapenda ivi unanipa mzuuuuuuuuka sana na coment zako..umeona eeh?Dizaini kuna watu huwa hawajielewi elemi ivi kama .kama vipi Tupogo kwa sana tu!Ingekuwa kinyume na hivyo inavyodaiwa mngesema Clouds ni wabaya kwa sababu wanataka kumharibia biashara huyo kibibi.
Lakini kwa vile sivyo mnashangilia. Mko wajinga sana nyinyi.
Aaaaaaaah yaani Noumer sana! chezea Ruge wewe utapata kengeza!Aaah! Haya mambo ya kutibuliana madili ni uchawi aaagrii.. Clouds nao wana waleta Chris Brown na Rihana tuone kama vinega na Jide wao kama watakusanya nyomi ya people
shostito hata wewe mwaya...unaniaibisha bwaba Clouds ndo mpango mzzima si unaona hazitajwitajwi radio zingine...hizo ndo zilizo makaburini!.....yaani NOUMER SANAAAA!Ukitaka kugundua Clouds inaenda kaburinii, angalia jinsi Kilimanjaro lager wanavyoendelea na tour yao wakati Fiesta nayo inaendelea. Wasanii kama Diamond na Snura wanajigawa kwa Kili na Clouds wikiendi moja. Ni mashaka makubwa kwa Clouds waliodhani wana hati miliki ya burudani Bongo. Pumbaff
cheki fiesta Tabora jana, huyo bibi na hao vinegu wanaweza kuujaza uwanja huu wa Ali hassani mwinyi au wanataka kufanya showzap kwenye parking ya gari?
cheki fiesta Tabora jana, huyo bibi na hao vinegu wanaweza kuujaza uwanja huu wa Ali hassani mwinyi au wanataka kufanya showzap kwenye parking ya gari?
sio mzima wewe ni wakupimwa!wewe ni boya kama vinega hawamuwezi bosi wako ruge mbona aliomba poo naakaomba suluhu? usiwe chizi wewe hii vita ipo wazi kuwa vinega mpango wa mungu na cloudz ni mpango wa lucifa so staytune
Waache waote ndoto a mchana! wala usipoteze nguvu zako ngoja wajifarij na bibi kiroboto!
Kaa mkao wa kupokea kipigo kitakatifu toka kwa jide ni 8-0 mtakula chezea komando ww
sio mzima wewe ni wakupimwa!