Fiesta: Masahabuki wamcharukia Ali Kiba, wataka mabadiliko

Singida ndio home

JF-Expert Member
Feb 23, 2012
3,192
3,353
Licha ya watu wachache waliokuwepo kushuhudia show ya alikiba kutokana na show kufayika usiku sana kuna mashabiki walikuwa wanaicheki show kwa simu zao na kuonyesha hisia zao baada ya millard ayo kuipandisha show hiyo kwenye channel yake ya youtube, Mashabiki wake wengi sana wamemcharukia na kumkanya kuhusu uwezo wake wa liveband na kundi lake jipya alilioanzisha, Sina mengi ya kuongea soma comments za mashabiki hapa.
mhVfcmR.png

TsioQlG.png

S9Hb8NW.png

3g01Dqu.png

1bX5wxG.png

ptXXsP5.png
 
Kwani unaweza kuniambia msanii wa live band anakuwaje /anaimbaje???.. au tupia clip hapa ikikuonesha unaimba live band!.. vinginevyo hizo ni porojo!... wabongo tunachukulia vitu kirahisi rahisi sanaaa...
 
Kwani unaweza kuniambia msanii wa live band anakuwaje /anaimbaje???.. au tupia clip hapa ikikuonesha unaimba live band!.. vinginevyo hizo ni porojo!... wabongo tunachukulia vitu kirahisi rahisi sanaaa...
 
Back
Top Bottom