bhachu
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 8,357
- 9,545
Wamwage lazi.........wanatamani wangezaliwa Brunei...
Wamwage lazi.........wanatamani wangezaliwa Brunei...
hata zimbabwe "fiesta" zipo, haimaanishi kuna pesa.Naomba Kujua Wadau, Au Ni Porojo Za Kisiasa
.....wamwage razi........wanatamani wangezaliwa Brunei...
Weka pichaDididididididi aseee hii fiesta ina watoto sijawahi ona walahi
Teeehteehteeeh...Unauliza jibu? Umeshasema "wanaolalamika hakuna pesa ni akina nani?" Jibu, ni hao wanaolalamika hakuna pesa!!!!!
Chitari na hela mkaruka
Mi nilikua najiwekea buku kila siku nikiuza maji barabarani leo niko hapa Leaders imoooo..
Kama hiyo picha ya avatar ni yako, nimevutiwa na tacko na rangi yako.Hao wanaolalamika wapimwe akili
Wote wanaosema maisha magumu hawajahudhuria kwenye hicho kigodoro chenuNaomba Kujua Wadau, Au Ni Porojo Za Kisiasa