Ifumange
JF-Expert Member
- Oct 21, 2016
- 902
- 1,068
Utauza maji kichwani utoboe?Kwamwendo huu itatuchukua miaka 100 kutoboa
Utauza maji kichwani utoboe?Kwamwendo huu itatuchukua miaka 100 kutoboa
Elfu 20 sio kipimo cha watu kuwa na hela ukizingatia hela imeshuka thamani sana,we hiyo elfu 20 unaitumia siku ngap?
Dah. .....Hizo hela zaidi ya nusu jana zimetolewa na HELSB,bodi ya mikopo na ndio maana DARUSO walianzisha maandamano.
Wametombea hela za walipa kodi maskini,wana ywea supu wakati mama zao hawana la kufanya!
Eeh Mola,*
Hyo inategemea ntu na ntu hela ya tibaijuka ni hela ya mboga lakini ungeipata wewe ungejiita billionea kama wale wa chugga lakn kwa mwenzako ni hela ya kisamvuHivi elfu 20,000 nayo hela?