Diamond si ana mkataba na Voda?,wakati Fiesta inadhaminiwa na Tigo,amejitoa kwa sababu kutakuwa na mgongano wa maslahi..Simuoni diamond hapo,,kulikoni??
M pesa huyoo ile ni tigo pesaSimuoni diamond hapo,,kulikoni??
Ww siyo Mwana Fa kweli?MwanaFa na Ay hawapo
Wana kesi bado mahakamani ya copyright.wamewashtaki tigo
Simuoni diamond hapo,,kulikoni??