Unajua kazi zake lakini? Kiutendaji anafanya kitu gani? Uliwahi kusikia malkia/mfalme akichaguliwa?Mkuu yule Malkia pale uingereza ametawala kwa muda gani?!
huyo trump anatafuta kiki Hana ishu wacha povu limtoke dadeqqqqqqqqkkkkkiiiBwana trump amesema kuwa " Leo ulimwengu umeshuhudia kifo cha dikteta katili aliyewakandamiza watu wake kwa karibu miongo sita. Utawala wake ulikuwa wa watu kuuawa kwa kupigwa risasi, wizi, mateso yasiyoweza kufikirika, umaskini na ukiukaji wa haki za binadamu" Je, kwanini kasubiri mpaka amefariki bwana Castro ndo aongee hivyo? Si angeongea wakati jamaa yuko hai? Hii ni dalili gani kwa nchi ya cuba? Wataalamu tusaidieni hili jambo kiundani zaidi. Chanzo; BBC Swahili
huyo malkia wanasema ni mteule Wa mungu halaf tambua hakuna dikteta Wa kizungu say ndi ndi ndiMkuu yule Malkia pale uingereza ametawala kwa muda gani?!
kama ya jamaa etu alienda msibani kunention wake na watoto wa marehem kwani wao hawajuaniAkili ya Trump kama ya nguruwe tu ni kawaida yake kufyatuka hovyo.
Kwa hiyo kama ujachaguliwa unakuwa sio Dikteta?Unajua kazi zake lakini? Kiutendaji anafanya kitu gani? Uliwahi kusikia malkia/mfalme akichaguliwa?
Kwanza tujue dictator ni mtu wa aina gani. Tuanzie hapoKwa hiyo kama ujachaguliwa unakuwa sio Dikteta?
Sio huyo viongozi wote wakubwa marekani wame tweet vby kuhusu comrade ,Fidel kwao ni kama iddi amin kwa TanzaniaView attachment 440145
Nimesoma salamu nyingi za RIP Fidel Castro, hii ya DJT ni kiboko.
Sijaona yeyote aliyekuwa hasi na Hayati Fidel Castro zaidi ya huyu.
Angekuwa Tanzania sijui angeandika nini kuhusu Sitta na Kombani (RIP)
Sasa km hakuna jipya kwanini unaandika.Normally hakuna mtu anakuwa triggered bila signal.Mkuu mi sina ushabiki na uchaguzi wa marekani,awe huyo mama au huyo Trump wako hakuna jipya.
shida si kuamishwa,wacuba wapo marekani kibao ,na hichi kifo ni furaha kubwa kwao.Ikiwepo sababu ya kuaminishwa, wananchi watayaamini wanayo aminishwa, ukweli ni kwamba wa CUBA marekani iliwaaminisha kuwa utawala wa FIDEL CASTRO ni wa kidikteta kwa zaidi ya miaka 50, lakini hawakuamini, lakini wananchi wa LIBYA waliaminishwa kwa mda mfupi tu, kuwa MUAMAR GADAFI ni dikteta na wakaamini, hiyo inamaanisha Gaddafi kweli alikua dikteta
dharau ipi sasa itamsaidia wakati eagle alishuka na kufanya aliyofanya?Raul na Castro walikuwa wakijisikitikia kwa miaka zaidi ya 50 walifanya kazi bureObama alivyotua Cuba ,Raul hakuenda kumpokea airport,wakaonana kesho yake,wamarekani walipiga kelele sana kuwa rais wao alivunjiwa heshima,alidharauliwa
Matukio kadhaa Raul alimfanyia Obama ya kidharau
Hakupokea kumbatio la Obama Bali aliushika mkono wa Obama kidharau
Tofauti ni kuwa Raul&Fidel ni ndugu na wenye mtizamo mmoja
Mkapa alikuwa ktk uongozi ambao usocialist ulikuwa ushakufa kitambo kipindi cha mwinyi wkt Raul bado anaendeleza legacy ya ndugu yke
haha. na waliomuokoa ni wapuuzi wa kizungu pia.Warusi na ujerumani mashariki.Fidel castro the only US enemy how survived 600 CIA assassnation attempts...
Wapuuzi wa kizungu walishindwa kumua jamaa! Hadi Mungu kamchukua mwenyewe..
The Guys is dead and REALLY DEAD. Rasilimali alizogawa duniani ktk nchi za wavivu km Tanzania ambayo hadi leo haijatoka ktk tope,wala kuwa na nia ya kujinasua, bora angetumia kuiinua cuba, ili leo cuba iwe na uwezo mzuri wa kusaidia wanaojielewa. Miaka 50 wa cuba wanalea , wajinga hadi wanakufa hakuna waliyemsaidia kafanikiwa hata wajipe matumaini na kuona ch akujivunia.Kiujumla US walikuwa wamesanda mbele ya huyo jamaa na kifo chake ni kama sherehe flani hivi very amaizing.