Safi sana mzeeHaya mambo yalishindwa kumaliza utata kati ya HOV na Nas.
Rapper mkali katika nini?
Ukali wao unatakiwa ushindanishwe vipi? Kwa kura?
Mafanikio? Lyrics?
Kura zikapigwa Nas akashinda bado watu wakasema ni the so called " weaker anaposhindanishwa na mkali mashabiki wanamwonea huruma weaker".
Haya mambo magumu..ni kutoa matokeo kiushabiki tu.
Namuona jamaa kwenye avatar Distant relatives sio...Safi sana mzee
Best raggae and hip hop album ever nas na Damian Marley kuna track inaitwa count your bless ni bonge moja la vibeNamuona jamaa kwenye avatar Distant relatives sio...
Patience track bora kwenye hiyo Album.
Wakati naskia inatoka nilikuwa-curious kuona nas anaflow kwenye raggae beats nishuhudie anavyomezwa na Gong ila jamaa alifanya poa...Best raggae and hip hop album ever nas na Damian Marley kuna track inaitwa count your bless ni bonge moja la vibe
Nas ni hatari sana kwenye kuchezea maneno vp kuhusu Joh makini huoni anapwaya kwa sasa hata kama kabadilika kuendana na sokoWakati naskia inatoka nilikuwa-curious kuona nas anaflow kwenye raggae beats nishuhudie anavyomezwa na Gong ila jamaa alifanya poa...
Dispairs, tribal war, as we enter...
Joh anaondoka na soko na siye yeye tu hata fid,Jay Mo,..Nas ni hatari sana kwenye kuchezea maneno vp kuhusu Joh makini huoni anapwaya kwa sasa hata kama kabadilika kuendana na soko