Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,783
- 28,799
BASATA chapeni kazi tena kàzi nzuri sana ongezeni iwe milioni 10 kabisa hii ya sasa ndogo
asilimia kubwa kati yao wana akili ya kijasiliamwili na sio kijisaliamali (na hii haijalishi ni me au ke)Wasanii wengi wana umaskini wa kujitakia, unakuta msanii ana followers kama 1Million kwenye social media zake, na hawezi kuwauzia watu 100,000 tu kazi yake ya sanaa, kimahesabu akiamua kuuza CD 1 kwa shilingi 2000 tu kwa watu 100,000 anapata 200,000,000. Kaz yao ni kulalamika tu.
Wanajua wenyewe ni wakati gani huwa wanakuwa kinyume na wananchi!! na ngoma hii wataicheza wenyewe, ninachowaomba BASATA WAONGEZE HII ADA!!kwani lini hawajawai kuwa upande wa watanzania?
Wasanii wa bongo bwana!
Mwakyembe alishawahi Sema hata ukiwaita mkutane mjadili hawaji!
Ila wakishtushwa na hizo tozo ndo wanaibuka kama swala waliokurupushwa na simba!
Jana wameitwa viongozi wa vyama vyao kwenye XXL hakuna Hata la Maana wanaloongea!
Huyo jamaa navyomjua anataka awaunganishe alafu awe kiongozi wao, then kinachofuata ni michango..Lakini Steve aliongea la maana sana akasema wazi kabisa kuwa wasanii wanatakiwa kuungana na kuzingatia mambo ya msingi na wana matatizo mengi kuzidi waliyo nayo basata....wasanii tatizo hawana umoja halafu wengi wajauaji sana