M-bongotz
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 1,734
- 405
Wadau naomna tumsaidie huyu jamaa..
"Mimi ni kijana wa makamo ambaye nimebahatika kupata mchumba ambae tumefahamiana kwa takribani miaka 2 sasa, she is perfect in many ways kasoro tabia moja tu aliyonayo inayonikera sana, yaani ni mmbea na mchonganishi kupita maelezo,ameshakorofishana na mashoga zake kibao kwa ajili ya tabia hiyo,nimejaribu kumkanya lakini naona haelekei maana kila mara napata malalamiko mapya, tafadhali kama kuna mtu ameshawahi kukumbana na kitu kama hicho anisaidie kunijuza alitatua vipi"
"Mimi ni kijana wa makamo ambaye nimebahatika kupata mchumba ambae tumefahamiana kwa takribani miaka 2 sasa, she is perfect in many ways kasoro tabia moja tu aliyonayo inayonikera sana, yaani ni mmbea na mchonganishi kupita maelezo,ameshakorofishana na mashoga zake kibao kwa ajili ya tabia hiyo,nimejaribu kumkanya lakini naona haelekei maana kila mara napata malalamiko mapya, tafadhali kama kuna mtu ameshawahi kukumbana na kitu kama hicho anisaidie kunijuza alitatua vipi"