FFU wamezunguka Ikulu. Kuna tishio la kuvamia Ikulu?

Status
Not open for further replies.
Wewe hakika ni kiranga. Hivi kipengele cha kidini kinatusaidia nini zaidi ya ndoto za alinacha za kufikiri kwamba idadi ikionyesha waislamu ni wengi siku moja nchi hii itakuwa ya kiislamu!!!!!!!!!!!!!! Kama mnataka idadi ya waislamu kwa sababu tofauti na niliyokueleza, kaitafuteni misikitini na kwenye taasisi zenu za kiislamu. Hii nchi haijawahi kuwa, haiwi na haitakaa iwe ya kiislamu mpaka Yesu atakaporudi.

Serikali haina dini na mimi napinga kuuliza wananchi kuhusu imani zao za kidini.

Ila wakiweke tu hicho kipengele ila kiwe optional. Kwisha habari yake.
 
Mkuu acha utani. Usogelee "kitu kizito" ukipige picha? Nilipita fasta nikawa na wasiwasi labda kuna uasi umetokea ikulu nisijepigwa na "kitu kizito"
Mbona Picha zinawezekana kabisa Mkuu. Ningefanya hili sema tu nipo eneo lina connection slow sana leo. Nenda Google Earth, tafuta kitufe cha picha za satellite ya wale majamaa zenu vichwa ngumu CIA, tafuta Dar es Salaam, kisha scroll hadi Magogoni Ikulu. Gari la washawasha litaonekana. FFU nina hakika hawataonekana kwa sana ila nadhani wangekuwa wamejipanga katika formation zingeweza onekana. Gari la washawasha litaonekana bila tabu. Kama upo eneo lenye Internet fast speed hebu tuwekee picha humu mwana wani.
 
Wakatoliki hujihesabu wenyewe kupitia vigango majimbo na parokia, nazani na wenzetu wangetumia utaratibu huu ingekuwa rahisi sana.
Lakini mie binafsi sioni kama kuna tatizo kuingiza kipengele cha dini ili vile vile wale wachache wajue walenge wapi kupata wafuasi na wenye waumini wengi wajue wapi kwa kujenga nyumba zaidi za ibada

Tatizo hapa ni kwamba, figures za madhehebu hazina authority kama figures za serikali, ndiyo maana wamekazania kuhesabiwa na serikali.

Kwa sababu tapeli yoyote anaweza kuja na kanisa lake akasema ana waumini milioni tatu.

Au hata mtu si tapeli, mtu ana nia njema tu kawahesabu waumini wake vizuri, kakuta wako milioni tatu, kumbe katika hao hao milioni tatu, kuna milioni moja nzima wanashiriki kanisani kwake na kanisa jingine.

Kwa hiyo utaona hizi figures za madhehebu haziaminiki.

Ndiyo maana watu wanashikia bango kuhesabiwa na serikali kwenye sensa. Kitu ambacho si cha ajabu sana kwa sababu sio kwamba Tanzania ndiyo itakuwa nchi ya kwanza kufanya hivyo.
 
Serikali haina dini na mimi napinga kuuliza wananchi kuhusu imani zao za kidini.

Ila wakiweke tu hicho kipengele ila kiwe optional. Kwisha habari yake.

Hamtaishia hapo lazima mwende mbele zaidi muulize kama ni mshia au.....................
 
Tatizo hapa ni kwamba, figures za madhehebu hazina authority kama figures za serikali, ndiyo maana wamekazania kuhesabiwa na serikali.

Kwa sababu tapeli yoyote anaweza kuja na kanisa lake akasema ana waumini milioni tatu.

Au hata mtu si tapeli, mtu ana nia njema tu kawahesabu waumini wake vizuri, kakuta wako milioni tatu, kumbe katika hao hao milioni tatu, kuna milioni moja nzima wanashiriki kanisani kwake na kanisa jingine.

Kwa hiyo utaona hizi figures za madhehebu haziaminiki.

Ndiyo maana watu wanashikia bango kuhesabiwa na serikali kwenye sensa. Kitu ambacho si cha ajabu sana kwa sababu sio kwamba Tanzania ndiyo itakuwa nchi ya kwanza kufanya hivyo.
Halafu wakiishaweka hicho kipengele inakuwaje tena? utapata faida gani? una mpango gani????
 
Hamtaishia hapo lazima mwende mbele zaidi muulize kama ni mshia au.....................

Nadhani unachosema ni kweli.

Vyovyote vile manung'uniko yao hayataisha. Jambo moja litazua jingine. Na wasiwasi wangu ni kwamba hata serikali ikiwahesabu bado tu watatafuta vya kunung'unikia.

Ni washari sana hao watu. It's almost impossible to reason with them.
 
Mbona kuna amani tuu wakuu?
Ondoeni shaka tz haijafikia huko mnakofikilia.
Bado ni nchi ya amani sana tuu.
 
Maskini hawa polisi!! Wanafanya kazi kwa matukio sana.Intelijensia zao hazifanyi kazi? au wamezi pause? Wanakimbia huku na huku na kule kama pepo akikemewa.... They are not informed.Wanakimbilia panapofuka moshi....


SIKUHIZI WANAKUSUKUMIZIA KITU MDOMONI THEN WANAKUKIMBIA.ZILE SILAA ALIZO SSEMA Dr ZIMEINGIZWA.
 
Halafu wakiishaweka hicho kipengele inakuwaje tena? utapata faida gani? una mpango gani????

Obviously hujasoma post yangu na kuangalia video inayo demonstrate umuhimu wa hizi figures katika academic research.
 
mwana umleavyo ndivyo akuavyo

Dalili za mvua ni mawingu

Maji ukiyavulia nguo shurti uyaoge


Hayawi hayawi ............


Kale kaudini ka alhaji kikwete kamejidhihilisha, waliokuwa wanajinadi sio mdini haya!!!


Kwa mambo haya Kikwe ni mdini!


Lakini yote 99 mi naitaka amani basi, waislamu ni watanzani, kama watanzania wengine sina tatizo na waislamu tatizo ni Jakaya mrisho kikwete na ccm yake.

Kushindwa kwa sera za ccm na propaganda chafu kama:-

-maisha bora kwa kila mtazani........ziiiiiiiiiiii???????

-udini ndoto za ccm walijuwa utawatowa sasa unawashughulisha kwelikweli!!!!!!????

-ukabila, ukanda ..........siasa za maji taka sasa

Ombi langu amani watanzania tunahitaji amani

Aibu kwa kikwete bali tuitafute amani. MAANA MUNGU HAMFICHI MNAFIKI
 
Nadhani unachosema ni kweli.

Vyovyote vile manung'uniko yao hayataisha. Jambo moja litazua jingine. Na wasiwasi wangu ni kwamba hata serikali ikiwahesabu bado tu watatafuta vya kunung'unikia.

Ni washari sana hao watu. It's almost impossible to reason with them.

Kama ni hivyo, wapeni nafasi waudhihirishie ulimwengu kwamba wao ni washari.

Wapeni hicho kipengele cha dini optional, wakileta fyoko zaidi tutajua kuna jambo jingine zaidi ya kujua idadi wanalolitafuta.

Then serikali inakuja na kutuambia.

"Wananchi eee, hawa jamaa washari.Wametaka kipengele cha dini kwenye sensa tumewapa, lakini kwa sababu walichotaka hasa ni ushari na si kutaka kujua idadi ya waumini, wanaendeleza ushari wao, sasa sisi tunatumia nguvu za kiserikali ku deal nao"

Wananchi tutasema "sawaaaaa, Watanzania hatutaki udini"

Serikali hata ikipiga risasi watu kwa jina la "usalama wa taifa" mimi nitaitetea.

Lakini serikali imewapa hawa watu msemo, hata haijawapa kamba ya kujinyongea wenyewe.

Ni kama adui yako unajua huyu anataka vita na wewe, badala ya kumuachia aingie kwenye mpaka wa nchi yako ili kila mtu aone kwamba huyu jamaa mshari, wewe unaenda kumpiga kabla hata hajafika mpakani.

Matokeo yake wewe ndiye unayeonekana mshari.

Sasa hivi serikali ndiyo inaonekana dhalili.

Innocent until proven guilty, not guilty until proven innocent.
 
Kama ni hivyo, wapeni nafasi waudhihirishie ulimwengu kwamba wao ni washari.

Wapeni hicho kipengele cha dini optional, wakileta fyoko zaidi tutajua kuna jambo jingine zaidi ya kujua idadi wanalolitafuta.

Then serikali inakuja na kutuambia.

"Wananchi eee, hawa jamaa washari.Wametaka kipengele cha dini kwenye sensa tumewapa, lakini kwa sababu walichotaka hasa ni ushari na si kutaka kujua idadi ya waumini, wanaendeleza ushari wao, sasa sisi tunatumia nguvu za kiserikali ku deal nao"

Wananchi tutasema "sawaaaaa, Watanzania hatutaki udini"

Serikali hata ikipiga risasi watu kwa jina la "usalama wa taifa" mimi nitaitetea.

Lakini serikali imewapa hawa watu msemo, hata haijawapa kamba ya kujinyongea wenyewe.

Ni kama adui yako unajua huyu anataka vita na wewe, badala ya kumuachia aingie kwenye mpaka wa nchi yako ili kila mtu aone kwamba huyu jamaa mshari, wewe unaenda kumpiga kabla hata hajafika mpakani.

Matokeo yake wewe ndiye unayeonekana mshari.

Sasa hivi serikali ndiyo inaonekana dhalili.

Innocent until proven guilty, not guilty until proven innocent.

Kuwepo kwa hiyo option mimi sipingi kabisa.

Binafsi nisingejaza. Ningeacha blank kabisa. Imani yangu ya dini inanihusu mimi tu na si wengine.

Ila kikiwepo halafu kiwe lazima watu wote kukijibu then we've got a problem.

Sasa sijui hao Waislam wanataka kiwepo halafu iwe lazima kwa wote kukijibu au la.
 
Naam, cha Ngeda Sangala Kandumbwa



This is what I call jumping the gun, guilty until proven innocent mentality.

Hata kama kuna watu wanataka kuifanya nchi hii iwe ya kiislamu kwa namna hiyo uliyoisema, watu hawa si peke yao wanaotaka kujua idadi ya watu kwa dini Tanzania.

Kuna demographers wasomi wanaoinfluence public policy wanahitaji habari hizi (nishaongea sana kuhusu umuhimu wa hizi demographics katika public policy, kuanzia birth control issues, HIV/AIDS fight mpaka elimu na afya kwa ujumla)

Hii dhana ya kwamba "yeyote anayetaka kujua breakdown ya idadi ya watu kidini ni uamsho" ni intellectual lazyness.

Na kama vile ambavyo serikali haiwezi kukataza watu kuendesha magari kwa sababu baadhi ya magari hupata ajali, serikali haitakiwi kukataza swali la dini kwa sababu kuna uamsho wachache wanaotaka kutumia hizi figures kuleta mgawanyiko wa kisiasa.

Sipendi mtego wa panya unasao waliokusudiwa na wasiokusudiwa. Hii habari inawapunja wasomi wanaotaka kujua mgawanyiko wa watu kidini kwa sababu genuine za research. Kama kuna watu wanataka kuleta vurugu, tuende na sheria, tuwaaache wapange, tunase ushahidi, mkondo wa sheria ufuatwe.

Sio kuhukumu mtu kwa sababu "huyu atakuja kuwa mwizi baadaye" kabla hata wizi haujafanyika.



Demographers wenyewe wanasema figures zinazokubalika kabisa ni za sensa za serikali.

Ushasema uamsho wanataka kutumia sensa kwa sababu ya kisiasa kuifanya nchi iwe ya kiislamu, sasa utawaaminije wafanye hesabu ya kweli wakati wana a political agenda? Huoni kwamba una ji contradict hapo?

Hebu msikilize msomi huyu anavyo endorse figures za sensa kama ni the most reliable.

Bila figures za sensa presentation ya kisomi kama hii haiwezi kuwapo.


[video]http://www.ted.com/talks/hans_rosling_religions_and_bab ies.html[/video]

Hujanishawishi chochote juu ya umuhimu wa idadi kidini. Ingekuwa nchi hii ni ya kidini ningekuelewa sana lakini as long as bado kila mtu anaabudu anachoweza kwangu is immaterial kuwa na data hiyo kwenye sensa. Demographers wanahitaji taarifa kama zifuatazo:

characteristics and statistics of human population: the characteristics of a human population or part of it, especially its size, growth, density, distribution, and statistics regarding birth, marriage, disease, and death
Microsoft® Encarta® 2009. © 1993-2008 Microsoft Corporation.
Hivyo hiyo ya kwako ya dini sijui unaitoa wapi?

Kila jambo ni lazima tuliangalie kwa macho mawili, hivi katika mazingira ya kawaida ambayo sio polluted, kipengele cha dini kingeweza kusababisha shinikizo kubwa hivyo kutoka kwa waislamu katika zoezi la sensa???????? Kisipokuwepo waislamu wanaathirika nini? Kwani kwenye sensa kutakuwa na mipango ya kujenga misikiti ili useme kama kipengele hicho hakipo baadhi ya sehemu misikiti haitajengwa???????? Je wakristo na imani zingine hazioni umuhimu wa kipengele hicho, mbona hawajaleta hayo mashinikizo?????????? Let them show up their faces and call a spade a spade. Tuache kudanganyana na kujificha kwenye sensa. Waseme mission yao wazi!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Hujanishawishi chochote juu ya umuhimu wa idadi kidini. Ingekuwa nchi hii ni ya kidini ningekuelewa sana lakini as long as bado kila mtu anaabudu anachoweza kwangu is immaterial kuwa na data hiyo kwenye sensa.

Hata mimi sioni umuhimu wa idadi ya waumini wa dini ni nini.
 
Hujanishawishi chochote juu ya umuhimu wa idadi kidini. Ingekuwa nchi hii ni ya kidini ningekuelewa sana lakini as long as bado kila mtu anaabudu anachoweza kwangu is immaterial kuwa na data hiyo kwenye sensa. Demographers wanahitaji taarifa kama zifuatazo:

characteristics and statistics of human population: the characteristics of a human population or part of it, especially its size, growth, density, distribution, and statistics regarding birth, marriage, disease, and death
Microsoft® Encarta® 2009. © 1993-2008 Microsoft Corporation.
Hivyo hiyo ya kwako ya dini sijui unaitoa wapi?

Kila jambo ni lazima tuliangalie kwa macho mawili, hivi katika mazingira ya kawaida ambayo sio polluted, kipengele cha dini kingeweza kusababisha shinikizo kubwa hivyo kutoka kwa waislamu katika zoezi la sensa???????? Kisipokuwepo waislamu wanaathirika nini? Kwani kwenye sensa kutakuwa na mipango ya kujenga misikiti ili useme kama kipengele hicho hakipo baadhi ya sehemu misikiti haitajengwa???????? Je wakristo na imani zingine hazioni umuhimu wa kipengele hicho, mbona hawajaleta hayo mashinikizo?????????? Let them show up their faces and call a spade a spade. Tuache kudanganyana na kujificha kwenye sensa. Waseme mission yao wazi!!!!!!!!!!!!!!!!!

Definition yako mwenyewe ya encarta inakusuta, unajua maana ya neno "characteristics"?

Kuna wengine hawashawishiki kwani hawana capacity ya kuelewa vya kutosha kuweza kushawishika.

Kama suala la dini si muhimu katika uzazi wa mpango/ vita dhidi ya UKIMWI kwa nini secular people are up in arms against the RC church's "no condom" policy?

Kwa nini serikali ina solicit msaada wa viongozi wa kidini?

Unataka kuniambia hakuna public policy yoyote inayokuwa influenced na imani za kidini za watu hata katika msingi wa kiutamaduni kama si kiimani?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom