Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Jamani eh, tuhabarishane.
Nimepishana na msafara wa FFU wakiwa 'kamili'. Askari, gari la maji ya upupu, binduki.
Walioko kwa Mnyika au kwa Mdee watujuze zaidi.
Nimepishana na msafara wa FFU wakiwa 'kamili'. Askari, gari la maji ya upupu, binduki.
Walioko kwa Mnyika au kwa Mdee watujuze zaidi.