joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,613
MY TAKE: Ninakumbuka wakenya wengi walipendekeza huyu jamaa awe rais baada ya Uhuru kwa madai kwamba amepambana vizuri dhidi ya Corona, kwasababu tu ya kusoma idadi ya wagonjwa wapya kila siku. Wakenya huwa hawatumii akili sio watu wa kuwasikiliza.
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app