Few days left until Old skool party of the ceutnry!

Binti Maringo

JF-Expert Member
Jul 4, 2007
2,804
86
Ca you all believe it?!!...yaani oldskool party of the century unanukia sasa...few days left!....

CUz (Mwakijj)....hureeeeeeeeeeey!...

And ooops stay tuned this sunday Bongo radio will bring you live interview with waandaaji (host) wa Old skool party wakikuelezea what to expectnext weekend...

Aiiight!

xoxo
Gosssip Girl!
 
tena itakuwa vizuri cuz.. na miye tumejiandaa,... ambaye haja tuna ushuku Utanzania wake.. !LOL


Cuz tena nimesahau....Bongo Radio will broadcast live kutoka Columbus that day...so ya"all who will not be able to attend stay tuned we will be live for shoo....
 
Cuz tena nimesahau....Bongo Radio will broadcast live kutoka Columbus that day...so ya"all who will not be able to attend stay tuned we will be live for shoo....

Ms Kelly naona una hamu wiki hii ishe kesho kwi kwi..lakini columbus si umetoka juzi tuu?
Anyways hii kitu sikatai iytakua sio mchezo..shauri zao ambao hawakuwepo enzi za YEKE YEKE NUAAA YEKE YEKE...mmhh haya inatosha
 
Ms Kelly naona una hamu wiki hii ishe kesho kwi kwi..lakini columbus si umetoka juzi tuu?
Anyways hii kitu sikatai iytakua sio mchezo..shauri zao ambao hawakuwepo enzi za YEKE YEKE NUAAA YEKE YEKE...mmhh haya inatosha


Dang Jibabaz...duuh! how did you know i was in Columbus?....but to tell you the truth eeh mwenzio i can't wait hii week iishe nianze hesabu zangu days...maana hii kitu reminds me a lot of them dayz watu tunatoroka home kisa disco na pia kila weekend lazima uzushe borthday party ili kupata ruhusa ukiona home wamekustukia basi unachomoka kiaina...unakula raha huko kasheshe time za kurudi home unaanza kuhaha....Ila eeeh i tell you what old is gold!....
 
useful Info!

PARTY PIPO
The Event You have been waiting in Mid-West's Finest (614), COLUMBUS, OHIO.

Wabongo's Official City the original Bashment was Born.
THE OLD SKOOL WEEKEND
July 3rd - July 6th.
3 Nights, 3 Different Venues,

Plenty of Daytime Activities, Sports Events(Simba v/s Yanga), BBQ

BROUGHT TO YOU
J&T Ent., Oldies Gold Productions & Lups Ent.

FRIDAY JULY 4th,

MAISHA NIGHT @ COMFORT INN & SUITES,
1213 E. Dublin Granville RD, Columbus, OH 43229
Doors Open 10pm - 5am, Cover $10

MAIN EVENT
Saturday July 5th,
OLD SKOOL PARTY @ THE GATHERING PLACE,
847 E. 11th Ave. Columbus, OH 43211
Doors Open @ 9pm - 7am, Cover $10 B4 Midnight

Special Appearance By DJ Bonni Luv, T&T Jackson, surprise DJ from UK, and Own Zone The Mix Master Dj Luke....

Check out hotels @ http://www.kayak.com




For more Information - http://www.oldskoolnjoo.com
 
Cuz tena nimesahau....Bongo Radio will broadcast live kutoka Columbus that day...so ya"all who will not be able to attend stay tuned we will be live for shoo....

Yeah tutakuwepo pale Kama Kawa kuleta mambo yote LIVE.
 
Dang Jibabaz...duuh! how did you know i was in Columbus?....but to tell you the truth eeh mwenzio i can't wait hii week iishe nianze hesabu zangu days...maana hii kitu reminds me a lot of them dayz watu tunatoroka home kisa disco na pia kila weekend lazima uzushe borthday party ili kupata ruhusa ukiona home wamekustukia basi unachomoka kiaina...unakula raha huko kasheshe time za kurudi home unaanza kuhaha....Ila eeeh i tell you what old is gold!....

Hee si unajua tena bi Kelli ukiwa na karai unaona vilivypita na vijavyo.
Ila hii party daa..mambo ya kina dada kuva vimini kisha kuvaa kanga juu yake kama wanaenda msibani kumbe ndo kuingia club ukitoka msibani..upo hapo?
hee hee
 
Hee si unajua tena bi Kelli ukiwa na karai unaona vilivypita na vijavyo.
Ila hii party daa..mambo ya kina dada kuva vimini kisha kuvaa kanga juu yake kama wanaenda msibani kumbe ndo kuingia club ukitoka msibani..upo hapo?
hee hee


Enlighten me...Karai ina refect kitu gani tena..bado sijakupata Jibaba.
Umesema nikiwa na karai karai gani hilo tena?
 
Enlighten me...Karai ina refect kitu gani tena..bado sijakupata Jibaba.
Umesema nikiwa na karai karai gani hilo tena?

KELYY unaniangusha..kwi kwi naposema karai maana ni kama vile uko kwa mganga wa kienyeji unaangalia karai kuona nani yuko wapi na anafanya nini mithili ya simba na yanga zamani.
Ntakupa mfano..niliangalia kwenye karai nikaona mtu kaa wewe mjini MN..sina uhakika naomba utanisahisha kama nilikosea kwi kwi
ila itabidi uni PM maana mi nishalewa ku confirm hii kitu ya MK pre party meeting of wana JF plus mi bado mdogo humu kwi kwi kwi
 
KELYY unaniangusha..kwi kwi naposema karai maana ni kama vile uko kwa mganga wa kienyeji unaangalia karai kuona nani yuko wapi na anafanya nini mithili ya simba na yanga zamani.
Ntakupa mfano..niliangalia kwenye karai nikaona mtu kaa wewe mjini MN..sina uhakika naomba utanisahisha kama nilikosea kwi kwi
ila itabidi uni PM maana mi nishalewa ku confirm hii kitu ya MK pre party meeting of wana JF plus mi bado mdogo humu kwi kwi kwi


Jibaba naona umenifananisha nope sikuwepo MN!..I haven't been to MN for a while...mmh nahisi basi unanifananisha wee hiyo ya Ohio nayo naona umeotea huna uhakika kama uliniona au lah...

The kama wewe bado mdogo ninachokushauri ni ukae tuu nyumbani maana hizi shughuli za this weekend na watoto wadogo haziendani kabisa....ushauri wangu Jibaba just stay home watch movies au paly video games....wait for next time ukifika age ya kura raha hahahaha....
 
cuz.. no you didn't! well.. mambo yote Columbus... wale wazee wenzangu tunaokutana Off-Broadway leo ndio nakamilisha mambo mengine yote. Thanks for everything. Najua kuna vijana wetu wengine wanaoanza kuingia huko Ijumaa.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom