Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,017
- 16,427
Huyu kijana wa miraba minne aiseeh anatingisha dunia sasa hivi. Baada ya kuwa Mkenya wa kwanza kufika semi-finals za 100 metres huko Tokyo olympics, sasa amekimbia mita mia moja chini ya sekunde kumi. Awa mtu wa kwanza Africa Mashariki na kati kufanya hivyo.
Hata Afrika Kaskazini ya Waarabu Tunisia, Egypt, Morocco hawajawahi kutoa mwanariadha aliyekimbia 100m chini ya sekunde kumi. Mashindano yalifanyika nchini Austria na alikimbia 9.96 seconds katika mbio za kwanza, halafu akakimbia 9.86 seconds katika fainali.
Hata Afrika Kaskazini ya Waarabu Tunisia, Egypt, Morocco hawajawahi kutoa mwanariadha aliyekimbia 100m chini ya sekunde kumi. Mashindano yalifanyika nchini Austria na alikimbia 9.96 seconds katika mbio za kwanza, halafu akakimbia 9.86 seconds katika fainali.