Felix Mrema, Edward Lowassa na Rostam Aziz wamsupport Andrew Chenge Kupitia Bank M

payuka

JF-Expert Member
Jun 17, 2010
829
127
Mwenye kujua ukweli wa jambo hili atujuze jamani, maana kuna tetesi nimesikia kuna kiasi kikubwa ( approx. 2 millions USD) cha pesa kimechangwa na Felix Mrema wa Arusha, EL na Rostam Aziz kupitia Bank M ( Account gani mi Sijui).

Lengo likiwa ni kum-support ndugu Andrew Chenge Kufanikisha Kuchukua Kiti Cha Uspika. Sababu kubwa ya Felix Mrema Kuchangia mbio hizo inasemekana ni kutokana na Kashfa za ndugu yake wa TANROAD ( Bomu linalosubiriwa Kulipuka) kumgusa Andrew Chenge.

Mwenye Kufahamu lolote ni vizuri akaliweka jamvini ili lifahamike kiuwazi, maana maandalizi ya kuimaliza CCM ndo yameshaanza kushika kasi.

Nawakilisha!
 
Nadhani jamaa watatumia Nguvu Kubwa ya Pesa ili kufanikisha azma yao, na mwisho wa siku wataweza kuzima mijadala mingi tu ya kifisadi.
 
Mwenye kujua ukweli wa jambo hili atujuze jamani, maana kuna tetesi nimesikia kuna kiasi kikubwa ( approx. 2 millions USD) cha pesa kimechangwa na Felix Mrema wa Arusha, EL na Rostam Aziz kupitia Bank M ( Account gani mi Sijui).

Lengo likiwa ni kum-support ndugu Andrew Chenge Kufanikisha Kuchukua Kiti Cha Uspika. Sababu kubwa ya Felix Mrema Kuchangia mbio hizo inasemekana ni kutokana na Kashfa za ndugu yake wa TANROAD ( Bomu linalosubiriwa Kulipuka) kumgusa Andrew Chenge.

Mwenye Kufahamu lolote ni vizuri akaliweka jamvini ili lifahamike kiuwazi, maana maandalizi ya kuimaliza CCM ndo yameshaanza kushika kasi.

Nawakilisha!

Wabumge "La Saba" na "Fom Foo" wa CCM kaeni mkao wa kula.

Kura kwa Samuel Sita
 
Mwenye kujua ukweli wa jambo hili atujuze jamani, maana kuna tetesi nimesikia kuna kiasi kikubwa ( approx. 2 millions USD) cha pesa kimechangwa na Felix Mrema wa Arusha, EL na Rostam Aziz kupitia Bank M ( Account gani mi Sijui).

Lengo likiwa ni kum-support ndugu Andrew Chenge Kufanikisha Kuchukua Kiti Cha Uspika. Sababu kubwa ya Felix Mrema Kuchangia mbio hizo inasemekana ni kutokana na Kashfa za ndugu yake wa TANROAD ( Bomu linalosubiriwa Kulipuka) kumgusa Andrew Chenge.

Mwenye Kufahamu lolote ni vizuri akaliweka jamvini ili lifahamike kiuwazi, maana maandalizi ya kuimaliza CCM ndo yameshaanza kushika kasi.

Nawakilisha!

Inawezekana kwani vita ndani ya CCM iliyoko mbele kuelekea 2015 si lelemama, tayari wameshaanza kujipanga wakiamini kuwa watapewa ulinzi wote wa dola kutoka kwa JK wakati utakapofikia huku wakiwa wamesahau kuwa wadanganyika watakuwa wameshachoka mbaya na watakuwa hawasikii la mjumbe wala mkuu wa kaya na hapo ndipo mbanduebandue ya Kenya itakapopiga hodi Tanzania...Over my neck Lowassa hawezi kuwa eti Rais wangu bora nijifirieko mbali nijue mmoja
 
Mwenye kujua ukweli wa jambo hili atujuze jamani, maana kuna tetesi nimesikia kuna kiasi kikubwa ( approx. 2 millions USD) cha pesa kimechangwa na Felix Mrema wa Arusha, EL na Rostam Aziz kupitia Bank M ( Account gani mi Sijui).

Lengo likiwa ni kum-support ndugu Andrew Chenge Kufanikisha Kuchukua Kiti Cha Uspika. Sababu kubwa ya Felix Mrema Kuchangia mbio hizo inasemekana ni kutokana na Kashfa za ndugu yake wa TANROAD ( Bomu linalosubiriwa Kulipuka) kumgusa Andrew Chenge.

Mwenye Kufahamu lolote ni vizuri akaliweka jamvini ili lifahamike kiuwazi, maana maandalizi ya kuimaliza CCM ndo yameshaanza kushika kasi.

Nawakilisha!

Lisemwalo lipo..... Huoni courage aliyokua nayo CHENGE hata ya Kumshutumu SITA hadharani ni kubwa kuliko kasha alizokua nazo. so something is boiling......
 
Mwenye kujua ukweli wa jambo hili atujuze jamani, maana kuna tetesi nimesikia kuna kiasi kikubwa ( approx. 2 millions USD) cha pesa kimechangwa na Felix Mrema wa Arusha, EL na Rostam Aziz kupitia Bank M ( Account gani mi Sijui).

Lengo likiwa ni kum-support ndugu Andrew Chenge Kufanikisha Kuchukua Kiti Cha Uspika. Sababu kubwa ya Felix Mrema Kuchangia mbio hizo inasemekana ni kutokana na Kashfa za ndugu yake wa TANROAD ( Bomu linalosubiriwa Kulipuka) kumgusa Andrew Chenge.

Mwenye Kufahamu lolote ni vizuri akaliweka jamvini ili lifahamike kiuwazi, maana maandalizi ya kuimaliza CCM ndo yameshaanza kushika kasi.

Nawakilisha!

mhhhh
 
Lisemwalo lipo..... Huoni courage aliyokua nayo CHENGE hata ya Kumshutumu SITA hadharani ni kubwa kuliko kasha alizokua nazo. so something is boiling......

Nakubaliana na wewe mkuu, nadhani tusubiri na kama kuna ukweli tutajua!
 
Tuseme ukweli, bila vijisenti, Chenge hauziki kama Nguruwe Pemba. Tusubiri tuone. Nasikia EL anajiandaa kuingia ikulu 2015. Hivi atauzika kweli? OOOOH, nilisahau kuwa Tanzania anayeamua mshindi wa kura ni anayehesabu na kuchakachua, na siyo wapiga kura. Watanzania jiandaeni 2015, kama mmestaajabu ya Musa 2010, Mtaona ya Firauni 2015.
 
Hizo namba ulizotaja zote(EL,RA,na FM) ni namba mbaya kabisa kwa siasa zinazohusisha fedha kwa hapa nchini!
Najua FM amefurahia sana kuangushwa kwa Batilda, lakini kumbe ame-bank kwa nduguye wa Tanroads!
Kwa hawa watu walivyo, wana uwezo wa kuinfluence sehemu kubwa ya Bunge, hasa ukizingatia kuwa wabunge wengi kwa sasa ni wa kuja, na fedha zao nyingi walizitumia kuhonga, kwahiyo kwasasa wako apeche-alolo, ni rahisi kudanganyika!
 
wakati wa lunch nilikuwa naongea na wafanyakazi wenzangu na wengi wao wanasema hawatashangaa CHENGE ikiukwaa uspika. watu watajazwa mahela mpaka wasikie kichefuchefu siku ya kupiga kura wanaona Andrea Chenge tu. Ni jambo la kusikitisha lakini
 
wakati wa lunch nilikuwa naongea na wafanyakazi wenzangu na wengi wao wanasema hawatashangaa CHENGE ikiukwaa uspika. watu watajazwa mahela mpaka wasikie kichefuchefu siku ya kupiga kura wanaona Andrea Chenge tu. Ni jambo la kusikitisha lakini
Kama Kawaida, NGUVU YA PESA achana nayo! Inawapiga kikumbo hadi TAKUKURU simchezo.
 
itajinyonga chenge akiwa spika na may be itakuwa mwisho wa ccm ya sasa na kuanzishwa live udkteta na kulipizana vsasi, apewe sitta, wabunge waeu shauri yenu msituangushe kuleni hela na Sitta apite hope hata JK anatamani sitta apite
 
Nguvu ya pesa haishindi nguvu ya umma.Alipofukuzwa Zito bungeni umma uliungana kuwazomea safari tutawapiga mawe wabunge wakimchagua Chenge wapinzani watafanya kazi kirahisi ya kuomba umma uamue
 
Ni VIZURI SANAAAAAX1000000000 Ili umma uwaondoe kwa urahisi nguvu ya pesa haiwezi kushinda nguvu ya umma
 
Binafsi nimeshangaa sana na ujasiri aliokuwa nao mbunge mteule Chenge wakati alikuwa kimya kama nyau,nahisi kuna jambo nyuma ya pazia....................tusubiri yetu macho
 
Chenge yupo kwenye kundi linalotaka kumtoa rais wa 2015 kwa hiyo wanafanya wawezavyo ikiwamo kuwatukana watanzania ili malengo yao yafanikiwe
 
Wacha wamuweke Chenge! hata wakiamua warudishe EL. Am sorry but nataka wadanganyika waadhibiwe kisawasawa ili ikifika 2015 au hata isifike wajue jinsi ya kudai haki yao! Maana naona somo haliwaingii akilini. Hawa watu lao moja kuanzia JK mwenyewe, kuinyonya nchi yetu mpaka ipate anorexia.
 
Nadhani wanataka endapo EL atapendekezwa na Rais kuwa tena PM, asipate shida ya kupitishwa na wabunge. Maana idadi ya kura itabidi itoshe. Lakini kikubwa zaidi, ni kuhakikisha kuwa Bunge linatumika kufukia na kunyamazisha uwezekano wa mijadala yenye kuumiza baadhi ya wahusika kama ilivyokuwa kipindi kilichopita.

Ni wakati wa kutengeneza njia kwa uchaguzi wa 2015 na kwa kuanzia, itabidi watu wasafishwe kikamilifu kabisa. Nadhani katika hatua hiyo, wapinzani wasipokuwa wamoja, wataanza kupunguzwa ndani ya mjengo kwa kutumia taratibu na kanuni za Bunge.
 
Back
Top Bottom