YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,909
- 51,904
Sera ya CHADEMA ni maendeleo ya watu sio vitu
Wakili Felix Mkosamali Mgombea Ubunge CHADEMA Muhambwe ampinga Lissu na CHADEMA anadi sera ya maendeleo ya vitu kuwa hizo ndizo sera kinyume na Lissu anayepinga maendeleo ya vitu
Wakili Mkosamali pia ametangaza biashara yake ya Uwakili kwenye mkutano wa hadhara kinyume cha maadili ya uwakili ambayo hayaruhusu kujitangaza kutafuta wateja
Huyu hapa msikie mwenyewe
Wakili Felix Mkosamali Mgombea Ubunge CHADEMA Muhambwe ampinga Lissu na CHADEMA anadi sera ya maendeleo ya vitu kuwa hizo ndizo sera kinyume na Lissu anayepinga maendeleo ya vitu
Wakili Mkosamali pia ametangaza biashara yake ya Uwakili kwenye mkutano wa hadhara kinyume cha maadili ya uwakili ambayo hayaruhusu kujitangaza kutafuta wateja
Huyu hapa msikie mwenyewe