Mzee Wa Rubisi
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,757
- 442
Kijana mdogo kuliko wote,miaka 24 tu,mwanafunzi wa chuo cha SAUTI MWANZA mwaka wa 3 sheria kashinda ubunge kwa asilimia 97.72%.
ANAREKODI TATU
1.Mdogo kuliko wote
2.Kashinda kwa asilimia kubwa
3.mwanafunzi:israel::israel::israel::israel:
NI Felix Mkosamali kwenye Jimbo la Muhambwe KIGOMA NCCR-MAGEUZI:israel::israel::israel::israel::israel:
Aliingia NCCR-Mageuzi Februari 19, 2010. Aliitisha mkutano na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa Idara ya Habari (Maelezo) wakati akiwa likizo fupi ya chuo na kutangaza rasmi kuwa amerudisha kadi ya Chadema na kuhamia NCCR,Hilikuwa adhina ya cha cha chadema.
ANAREKODI TATU
1.Mdogo kuliko wote
2.Kashinda kwa asilimia kubwa
3.mwanafunzi:israel::israel::israel::israel:
NI Felix Mkosamali kwenye Jimbo la Muhambwe KIGOMA NCCR-MAGEUZI:israel::israel::israel::israel::israel:
Aliingia NCCR-Mageuzi Februari 19, 2010. Aliitisha mkutano na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa Idara ya Habari (Maelezo) wakati akiwa likizo fupi ya chuo na kutangaza rasmi kuwa amerudisha kadi ya Chadema na kuhamia NCCR,Hilikuwa adhina ya cha cha chadema.