Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,163
Mchungaji msamehe Mushi, nadhani amechanganyikiwa. Endelea kutushushia hivyo vitu vyako, wengine ndo kwanza wanaanza kuvisikia leo ingawa vilitokea zamani
Paulo hutengwa kwa kuwa mikono yake ni michafu, suala ni wale waliomtenga walikuwa wapi wakakaa kimya? Au Paulo baada ya kuwa mchafu alitoweka kabla ya wimbo kushika momentum?
Jasusi,
Alishaniita Fisadi, sasa Mkabila na Mdini, mwisho ataniita Shetani, nangojea kuota mkia na mapembe!
Jasusi,
Alishaniita Fisadi, sasa Mkabila na Mdini, mwisho ataniita Shetani, nangojea kuota mkia na mapembe!
Pole Rev, sio wewe peke yako, wengine tuliitwa changudoa!!!!!!
Mama,
Sema ASTAKAFILULAHI!!!
Pole Rev, sio wewe peke yako, wengine tuliitwa changudoa!!!!!!
Hebu wenye data watupe. Felix Mrema anatajwa kupata Sh bilioni 47 kwa dhamana ya BoT kwa ajili ya biashara ya maua. Kwa sasa anatisha ana "vijisenti' ila inasemekana hizo fedha hazitarudi kama ambavyo nyingine zilizochukuliwa kwa aina hiyo hazijarudi hadi leo.
Naona hii ndiyo thread pekee nitakayoanza kuchangia kwani hata MEGAPAYNE MWENYEWE KANIKARIBISHA HAPA!
Ndugu zangu kuna watu wananichongea ili nifungiwe hapa kwasababu ya kitendo changu cha kupinga hoja za udini na ukabila!
Sasa nimepewa warning...Na mimi nimemwomba mod huyo anipe list ya watu ambao hawataki nichangie thread zao ili kuepuka kufungiwa...Na kwa hivyo basi...Kuna watu kama Mafuchila na Megapayne na wengineo ambao najuwa hawana noma nikichangia mijadala hii bila matusi wala kwenda personal!
Once again nashukuru MegaPAYNE kwa ukarimu wako na pia sasa ni muda wa kujiandaa na NONDOZ ili kieleweke!
Pia kama kuna yule asiyetaka nichangie kwenye thread yake naomba ani PM kabla ya kwenda kunichongea ili nifungiwe.
Waungwana,
Sikutaka kuwajibu kuhusu nasaha zenu kuhusu JMushi, nilitaka niliache hili jambo life kimwa kimya. Lakini katika kusoma thread nyingine, nimekutana na maneno mengine ya JMushi ambayo yamenilazimu niwajibu maswali na maoni yenu hapa.
Sikuwa na nia ya kumshambulia Mushi au kumuonea. Nilimuomba kwa ustaarabu kabisa alipoleta mambo ya Mrema wa TANROADS hapa wakati suala ni Mrema Mbunge wa Arusha mjini na kumuambia si ajabu anachanganya mambo aangalie anachochangia.
Badala ya yeye kukubali kutafakari na kugundua kuwa kuwa alikosea kuleta hoja ambayo haihusiani na hii thread, akakimbilia kunizushia kuwa mimi ni Mdini na Mkabila na kwa maneno katikati ya mstari nawapiga vita Wachaga kwa kuwa mimi ni Msukuma. Hili aliliongezea kwa kuyaleta ya Yusuph Mushi.
Nikamhoji tena kwa ufafanuzi kama alisoma thread nzima na kuelewa kinachoongelewa na kumuomba tena aachane na tabia zake za kupandikiza mambo yasiyohusiana na thread alimradi kaona anaweza chomekea lake jambo.
Zaidi nikamuomba aonyeshe kwa ushahidi ni wapi nilipandikiza mbegu za Udini na Ukabila na kama hatakuwa na uwezo wa kuonyesha kwa jamii na umma anachonizushia, basi aniombe radhi pamoja na JAMII nzima kwa Uzushi na Uongo.
Anachofanya Mushi ni kuteka nyara hoja kwa kupandikiza hoja ambazo hazihusiani. Analifanya ama kwa Makusudi au bila kujijua na badala ya kufuata ushauri wa kumuasa aachane na hiyo tabia, hukimbilia kutuhumu kuwa watu wanamchukia na kumchongea kwa MODS ili afungiwe (rejea kauli kwenye thread ya MegaPyne kuhusu Kikwete) ambayo nainukuu hapa, na ni hili alilosema hapa lilonipelekea niwajibu wote kwa mpigo kuanzia Brutus, Mama, Mtu wa Pwani na wengine.
Nitawakumbusha moja, katika kanuni za JF, kuna vipengele vinavyozungumzia na kukataza anayoyafanya Mushi. Kuzushia na kuchomekea mambo katika thread alimradi mtu anachomeka apate ongezea posti.
Sasa kama nimefanya makosa kumhoji na kumuasa Mushi aache kuchanganya mambo, kuzusha, kusema uongo na zaidi kutenganisha hoja za hawa Mrema wawili wa TANROADS na Mbunge ambao hawahusiana kimjadala kwa njia moja au nyingine zaidi ya kuwa na jina moja na ni wa kabila moja, basi naomba Jamii inisamehe na Mushi mwenyewe anisamehe kwa kauli zangu kumuomba Mushi aache hii thread ya Mrema Mbunge ibakie kuwa ya Mrema Mbunge na si Mrema wa TANROADS.
__________________Reverand naomba uachane na mimi na mimi nitafanya the same!
Wewe sio baba yangu kunieleza nimekuja kukusikiliza wewe hapa!
Mkubwa ama mdogo..Mwanakijiji ma mwana mjini...Wote tunamichango yetu na tunasikilizwa bila kukemewa!
Unaniudhi sana na tabia yako ya kunikemea all the time!
<LI class=floatcontainer id=vmessage108>
22nd May 2008 09:36 PM
Rev. Kishoka
Ulipokuja, ulionekana kuwa ni makini, ukajijenge heshima. Lakini unaleta ubishi na kung'ang'ania mambbo bila kuwa na facts za kutosha na si msikivu au mwanafunzi mwema. Your methods to try and solve the puzzle or connect the dots are completely backwards and ice aged.
Tuliza boli, sikiliza na ujifunze.
Ujuha unajipaka rangi ya kijuha mwenyewe!
<LI class=floatcontainer id=vmessage106>
- <LI class=smallfont>View Conversation
- Report
22nd May 2008 06:38 PM
jmushi1
Ni lini hiyo nilshawahi kuwa na hadhi ambayo sasa imeshuka?
Kwani all the time si umekuwa ukinifanya nionekane juha?
<LI class=floatcontainer id=vmessage105>
22nd May 2008 06:31 PM
Rev. Kishoka
Umejishushia hadhi kwa uzushi kuwa Daudi Ballali ni sasa Daudi Kinyaga!
<LI class=floatcontainer id=vmessage104>
- <LI class=smallfont>View Conversation
- Report
22nd May 2008 05:01 PM
jmushi1
Nimejishushia hadhi kivipi?
Ukweli usipowekwa wazi kunakuwa na conspiracy theories!
<LI class=floatcontainer id=vmessage88>
22nd May 2008 10:10 AM
Rev. Kishoka
Mushi,
Ukishauriwa, kubali ushauri. Hii habari ya Kinyaga umejishushia hadhi sana, laiti ungesikiliza ulichoambiwa na Mtu wa Pwani!
<LI class=floatcontainer id=vmessage87>
- <LI class=smallfont>View Conversation
- Report
22nd May 2008 07:31 AM
jmushi1
Kivipi mkuu naomba uwe specific!
<LI class=floatcontainer id=vmessage86>
22nd May 2008 06:22 AM
Mtu wa Pwani
sawa mkuu ila ukienda kwa kasi utajigonga na utaangukia pua
<LI class=floatcontainer id=vmessage85>
- <LI class=smallfont>View Conversation
- Report
21st May 2008 11:46 PM
jmushi1
Ni mambo yanayosikitisha ndugu yangu!
Wala hata sijui kwamba thats the case ila niko very closely kwnye conversation na pia kuna mambo ambayo yanakatisha tamaa!
<LI class=floatcontainer id=vmessage69>
21st May 2008 05:32 AM
Mtu wa Pwani
mkuu unatisha, nnakupongeza kwa speed ya maandiko
Nimeamuwa kutochangia thread hii.
Ni kwasababu nimepewa onyo kwa kuingilia mjadala huu na kuupotosha!
Na mimi ninasema hivi...Kama ni mtu wa kulalaimika ni mimi..Kwani nikianza kutafuta thread humu na postings utashangazwa na jinsi umekuwa muonevu toka awali!
__________________
Hebu wenye data watupe. Felix Mrema anatajwa kupata Sh bilioni 47 kwa dhamana ya BoT kwa ajili ya biashara ya maua. Kwa sasa anatisha ana "vijisenti' ila inasemekana hizo fedha hazitarudi kama ambavyo nyingine zilizochukuliwa kwa aina hiyo hazijarudi hadi leo.
Hebu wenye data watupe. Felix Mrema anatajwa kupata Sh bilioni 47 kwa dhamana ya BoT kwa ajili ya biashara ya maua. Kwa sasa anatisha ana "vijisenti' ila inasemekana hizo fedha hazitarudi kama ambavyo nyingine zilizochukuliwa kwa aina hiyo hazijarudi hadi leo.