afande kifimbo
JF-Expert Member
- Aug 31, 2015
- 6,254
- 2,675
IPI INAFAA FOR PERSONAL USE BEI NAFUU JE?
BUDGET NI 2M MPAKA 3M
Matumizi hapa hapa Dar na daily rote kazini na kurudi..mfano Segerea to Kinondoni na Masaki?
Rough road na lami pia. NOT FOR BUSINESS
Sualala hadhi yake lipo ila mi nalipotezea kwa faida yangu mwenyewe masuala ya hadhi ntayapata kwa navojiweka kazi cheo taaluma, navokuwa kwenye jami so nko tayari jata kumiliki Haojue ilimradi nij ausafiri.
Nishaurini wana ndugu Asante
BUDGET NI 2M MPAKA 3M
Matumizi hapa hapa Dar na daily rote kazini na kurudi..mfano Segerea to Kinondoni na Masaki?
Rough road na lami pia. NOT FOR BUSINESS
Sualala hadhi yake lipo ila mi nalipotezea kwa faida yangu mwenyewe masuala ya hadhi ntayapata kwa navojiweka kazi cheo taaluma, navokuwa kwenye jami so nko tayari jata kumiliki Haojue ilimradi nij ausafiri.
Nishaurini wana ndugu Asante