Abby Newton
JF-Expert Member
- Nov 12, 2017
- 1,227
- 2,197
Nikiwa na tazama mechi ya Simba na Biashara, nimeweza kumfuatilia na kumtazama kwa umakini kiungo soft kutoka Zambia Bwalya. Huyu jamaa ni copy ya Chama tofauti ni miguu wanayotumia. Anajua sana!
Kila anapokuwa na mpira mguuni mawazo yake yote ni kupiga penetration pass. Anapiga chenga huku anaenda mbele. Sio kama Fei Toto ambaye anapoteza mda mwingi kuzunguka na mpira pale pale alipo.Mara aende kulia mara kushoto na kuishia kupiga square pass zisizo na madhara.
Matokeo yake hupelekea mashambulizi mengi ya Yanga kuwa ya taratibu na yanayotabillika.
Magoli kiduchu wanayopata Yanga ni matokeo ya hicho nilichokieleza.
Kila anapokuwa na mpira mguuni mawazo yake yote ni kupiga penetration pass. Anapiga chenga huku anaenda mbele. Sio kama Fei Toto ambaye anapoteza mda mwingi kuzunguka na mpira pale pale alipo.Mara aende kulia mara kushoto na kuishia kupiga square pass zisizo na madhara.
Matokeo yake hupelekea mashambulizi mengi ya Yanga kuwa ya taratibu na yanayotabillika.
Magoli kiduchu wanayopata Yanga ni matokeo ya hicho nilichokieleza.