Feisal penalty/fidia ya kutokutumikia mkataba inamsubiria

Artifact Collector

JF-Expert Member
Mar 7, 2019
6,539
10,006
Mfano Madrid wanamtaka Jude Bellingham basi wamwambie ingia mitini halafu ukiwa ukiwa mitini nenda kwenye Shirikisho la Mpira Ujeruman uwaambie wavunje mkataba wake na Dortmund sababu huipendi na analipwa mshahara mdogo halafu Chama cha Mpira wavunje mkataba wake aende atakapo ambapo ni Madrid kirahis hivyo!
Ndo mbinu anayotaka kuitumia feisal na washauri wake

Ni takriban miezi mitano imepita tokea Feisal aingie mitini nikimaanisha kwa muajiri wake Yanga, hayupo kwa sababu anazozijua yeye.

Yanga kama custodian wa mkataba wa Feisal ndio mwamuzi wa mwisho either avunje au asivunje mkataba asubirie mpaka pale utakapoisha na halazimishwi na mtu au taasisi yeyote ile as long anatimiza matakwa ya kimkataba waliyokubaliana.

Na nguvu itaondoka kama atavunja matakwa ya mkataba kama kutokumlipa mchezaji mshahara, mfano Wydad walikuwa hawalimpi mshahara Mvusa kwa hiyo walikiuka matakwa ya kimktaba, ila Yanga hawajakiuka matakwa ya kimkataba.

Unaposign mkataba lazima uutumikie, usipoutumikia makusudi kama afanyavyo Feisal ni kosa kisheria na hilo kosa litapelekea kwa muajiri wako kukupiga penalty ya wewe. Kutokutumikia mkataba ni jambo ambalo watu wengi hasa Watanzania hawalioni.

Kwa Watanzania wengi wana desturi ya kuvunja mikataba kihuni dhid ya waajiri wao na hawachukuliwi hatua yeyote ni kwa sababu tu na wewe pia mwajiri hakuhitaji, lakini kama mwajiri anakujitaji anayo haki ya kukudai fidia sio tu ya kuvunja mkataba kihuni plus kutokuhutumika. Na watu waelewe kutumikia mkataba ni lazima as long ulikubali kusign, sio ombi.

Kitu ambacho Feisal anatakiwa aambiwe straight; asifikiri ataondoka bure hata kama mkataba wake ukiisha anachotakiwa kujua Yanga kama mwajiri wake anahaki ya kumdai fidia Feisal kwa kutokutumikia mkataba wake. Kwa hiyo swala la yeye kuondoka bure mpaka sasa hivi halipo tena, kwa namna yeyote ile labda mwajiri wake Yanga waamue kumhurumia.

Feisal either akubali kuongea na Yanga wamtajie dau wanalotaka ili auzwe au asubirie mkataba uishe awalipe Yanga fidia kwa kutokutumikia mkataba.

Nimeshtuka kuona wakina Fatuma Karume na Madeleka kama Mawakili hili swala, hawajui kwamba kuna penalty ya kutokutumia mkataba ambayo inamsubiria Feisal?
 
Mbona mnalazimisha kubaki na mtu ambaye amewakataa?

Bodi ya TFF nayo ni kwasababu imejaa mashabiki ndio sababu tumekuwa tukishangazwa na maamuzi yao ambayo mostly ni unfair

Dogo kapeleka hoja ya kuvunja Mkataba baina yake na Yanga, maamuzi yanayokuja eti Feisali bado ni mchezaji wa Yanga. How could this be relevant?
 
Mbona mnalazimisha kubaki na mtu ambaye amewakataa?

Bodi ya TFF nayo ni kwasababu imejaa mashabiki ndio sababu tumekuwa tukishangazwa na maamuzi yao ambayo mostly ni unfair

Dogo kapeleka hoja ya kuvunja Mkataba baina yake na Yanga, maamuzi yanayokuja eti Feisali bado ni mchezaji wa Yanga. How could this be relevant?
Analazimishwa kivip nawakati alisign mkataba kwa ridhaa yake
 
Bongo kila mtu mwanasheria.
iii) Player has no obligation or automatic right to remain employed by the club

When considering the consequences of terminating a contract, a player cannot be obliged to remain employed by the club with which the contractual relationship has been terminated under any circumstances (whether the termination was with just cause or without just cause). Nor can the club be obliged to (re)employ the player. If one party decides unilaterally to terminate a contract prematurely, the contractual relationship between the parties ends. In the event of a dispute, the party in breach will be liable to pay compensation and sporting sanctions may be imposed on it, but no request for reinstatement of employment can be made, or considered. This principle has been confirmed by CAS,215
 
Mbona mnalazimisha kubaki na mtu ambaye amewakataa?

Bodi ya TFF nayo ni kwasababu imejaa mashabiki ndio sababu tumekuwa tukishangazwa na maamuzi yao ambayo mostly ni unfair

Dogo kapeleka hoja ya kuvunja Mkataba baina yake na Yanga, maamuzi yanayokuja eti Feisali bado ni mchezaji wa Yanga. How could this be relevant?
Yanga ingemlazimisha kubaki isingemuita mezani,dogo mwenyewe washauri wake ndio wapumbavu
 
Yanga kama custodian wa mkataba wa feisal ndo mwamuzi wa mwisho either avunje au asivunje mkataba asubirie mpaka pale utakapoisha na alazimishwi na mtu au taasisi yeyote ile

Huwez lala na kuamka na kutaka kuvunja mkataba kihuni mambo sio marahisi hivyo
Hakuna mwamuzi wa mwisho kwenye kuvunja mkataba

Hakuna maamuzi yanayoruhusu upande wowote kuendelea kumng'ang'ania mtu pale ambapo yeye hana nia ya kuendelea kubakia

Nimeweka vifungu vya kisheria hapo, njoo na wewe na hoja zako ambazo ziko supported na sheria usije na speculations zako zakishabiki
 
Yanga ingemlazimisha kubaki isingemuita mezani,dogo mwenyewe washauri wake ndio wapumbavu
Kwanza hatua ya kuitwa mezani imekuja baada ya dogo kuonesha nia ya kuondoka.

Awali walisema hawawezi kuongeza maslahi mpaka mkataba uishe

Unatambua value ya kitu kwenye hatua za mwisho unapokaribia kukipoteza.

Hili swala sio la kuangalia washauri wanasema nini, TFF ndio imezingua.... Kwenye shitaka la kuvunja mkataba kwanini hukumu ije "Feisali ni mchezaji wa Yanga"?
 
iii) Player has no obligation or automatic right to remain employed by the club

When considering the consequences of terminating a contract, a player cannot be obliged to remain employed by the club with which the contractual relationship has been terminated under any circumstances (whether the termination was with just cause or without just cause). Nor can the club be obliged to (re)employ the player. If one party decides unilaterally to terminate a contract prematurely, the contractual relationship between the parties ends. In the event of a dispute, the party in breach will be liable to pay compensation and sporting sanctions may be imposed on it, but no request for reinstatement of employment can be made, or considered. This principle has been confirmed by CAS,215
Feisal aende CAS
 
Yes lkn hajafuata utaratibu, alitoroka.
Alitakiwa afanye majadiliano na mwajiri nafikiri angeruhusiwa
Yani kama hajafuata utaratibu basi ndio inafanya zoezi la kuvunjika mkataba liwe lepesi zaidi.

Na faini juu, ambapo kama Club inaweza kujipatia pesa kupitia makosa ya mchezaji.

Lakini hata baada ya maneno mengi kusemwa kuwa amevunja utaratibu na kuamua kufata utaratibu kuvunja mkataba bado maamuzi yaliotolewa yameonesha tatizo halikuwa kutofuata utaratibu

Bali tatizo ni Yanga hawataki mkataba uvunjwe, hivyo kwasababu yeyote ile huwezi kupatiwa unachokitaka
 
Kwanza hatua ya kuitwa mezani imekuja baada ya dogo kuonesha nia ya kuondoka.

Awali walisema hawawezi kuongeza maslahi mpaka mkataba uishe

Unatambua value ya kitu kwenye hatua za mwisho unapokaribia kukipoteza.

Hili swala sio la kuangalia washauri wanasema nini, TFF ndio imezingua.... Kwenye shitaka la kuvunja mkataba kwanini hukumu ije "Feisali ni mchezaji wa Yanga"?
Weka ushabiki pembeni,mkataba unavunjwa kwa makubaliano ya waliongia mkataba tena kwa kufuata vipengele vya kuuvunja vilivyopo kwenye mkataba,fei mkataba alisaini na Yanga how aiombe tff ivunje mkataba ambao wao awakuwepo wakati unasainiwa,ok kwa mfano sasa tff ndio inavunvja mkataba kwa sababu zipi inauvunja,fei hajalipwa mshahara miezi 3,yan ni kitu gani fei alikosa kwenye mkataba wake ambacho kitasababisha mkataba uvunjwe,hapo ndio tff ilipomuambia arudi kwa aliongia nao mkataba au lah aende juu zaidi (CAS) kama anaona anaonewa
 
Feisal aende CAS
Akienda lazima ashinde, kikwazo hapo ni pesa tu.

Kwasababu Yanga hawawezi kutoa gharama za kuendeshea kesi hivyo Feisali itamlazimu kuwalipia.

Na ndiyo option ambayo TFF na Yanga wameiona Feisali ana udhaifu nayo
 
Mbona mnalazimisha kubaki na mtu ambaye amewakataa?

Bodi ya TFF nayo ni kwasababu imejaa mashabiki ndio sababu tumekuwa tukishangazwa na maamuzi yao ambayo mostly ni unfair

Dogo kapeleka hoja ya kuvunja Mkataba baina yake na Yanga, maamuzi yanayokuja eti Feisali bado ni mchezaji wa Yanga. How could this be relevant?
Nakuchukulia kama genius siku zote kwa michango yako humu jamvini lakini leo nashangaa comment yako hii uliyoandika! Aisee kweli ushabiki wa hizi timu zinawatoa watu akili duh!

Yanga hawalazimishi Feisal abaki suala lipo wazi na hata TFF wameshaliweka wazi kwamba kilichobaki ni maongezi kati ya mwajiri(yanga) na mwajiriwa(Fei) kwa hili yanga yupo tayri kukaa chini na Fei kudiscuss kuhusu kuvunja mkataba wameshatoa wito sana kwa Fei aende mezani waongee,Fei hataki anataka kuvunja mkataba kienyeji kana kwamba yanga sio professional team ni kijiwe cha kahawa tu..Mpaka hapo utasemaje yanga wanamng'ang'ania?

Maamuzi ya TFF sio unfairly na hayajakaa kishabiki maana kwenye mkataba TFF ni third party tu kutoa maamuzi inategemea na maelewano kati ya pande mbili za kwanza..yangekuwa unfairly kamanYanga wangekuwa hawataki kukaa mezani kuvunja mkataba na Fei halafu wao wakasema mchezaji aende akamalizane na timu yake lakini kwa hili yanga yupo tayari kumalizana na Fei,Unfair iko wapi hapa? Ulitaka TFF ndio wavunje mkataba kati ya mwajiri na mwajiriwa? Ingekuwa hivi team zingebaki na wachezaji!? Yaan mtu aamke tu from abajalo fc let's say atake kuvunja mkataba ghafla kwa kulazimisha mkataba uvunjwe TFF bila kuwashirikisha abajalo Fc,wewe umeona wapi hii!? Kutakuwa na mpira kweli nchi hii?
Msimpotoshe dogo aisee aendelee kuliwa hela zake na wanasheria akae chini amalizane na Yanga ataachiwa kwa amani
 
Back
Top Bottom