Nilufer
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 9,316
- 12,826
kwanza kabisa naomba nitoe shukran zangu za dhati kwa wadau waliochukua muda wao na kunishaurii nini nifanye baada ya tukio la jana kwa kweli mlinipa ujasiri mkubwa. ahsanteni sana na mungu awabariki daima
kwa wale ambao mlinizodoa vile vile nawashukuru kwani kwa kiasi fulan mlinielimisha.
turudi kwenye mada
kikao kilifanyika kwenye majira ya sa mbili na jirani alikuja akiwa amepoa kabisa. aliniambia mengi ambayo yaliniacha mdomo wazi.
kumbe huyu kimada ndio chaguo lake na alishazaa naye ila wazazi wake walikataa asimuoe kwa sababu sio mkurya (ni mjita) na ni mchafu (hajatahiriwa) ndipo wakamtafutia huyo shost ambaye anasoma huko nairobi. kipindi hicho alikuwa binti mdogo wa sekondari. alipomaliza tu sekondari akamuoa na akatakiwa amuendeleze.
mimi nikamwambia kwamba ni kweli mimi nilimwambia lakini alishakuwa na taarifa na mimi nilifanya finishing tu.
ameniomba tubadilishe story lakini mimi nimekataa kujihusisha na mambo yao nimemwambia amalizane nalo yeye mwenyewe. na nimeamua kwamba nisiendelee kukaa hapa kwani anaweza kuwa na kinyongo.
hivi wakurya hii mila ya kutahiriwa bado wanaifanya haaa!!!!! sikujua kama bado inamashiko. mmh inabidi muache jameni.
cc Sista chakii 'Valentina' Asprin watu8 sungura1980 mwekundu Gefu IROKOS BADILI TABIA kuberwa miss wa kinyaru Nambe gfsonwin Ruttashobolwa Mentor atoto miss chagga Munkari Mapi jamiif amu King'ast Mamndenyi Heaven on Earth Baba Wawili 2012 Ennie Malafyale josephmasamaki bahatika SUZANE mwallu mshana jr charminglady matmafcha pipii ushiboy nameless girl Chimunguru Kiboko PetCash amu
kwa wale ambao mlinizodoa vile vile nawashukuru kwani kwa kiasi fulan mlinielimisha.
turudi kwenye mada
kikao kilifanyika kwenye majira ya sa mbili na jirani alikuja akiwa amepoa kabisa. aliniambia mengi ambayo yaliniacha mdomo wazi.
kumbe huyu kimada ndio chaguo lake na alishazaa naye ila wazazi wake walikataa asimuoe kwa sababu sio mkurya (ni mjita) na ni mchafu (hajatahiriwa) ndipo wakamtafutia huyo shost ambaye anasoma huko nairobi. kipindi hicho alikuwa binti mdogo wa sekondari. alipomaliza tu sekondari akamuoa na akatakiwa amuendeleze.
mimi nikamwambia kwamba ni kweli mimi nilimwambia lakini alishakuwa na taarifa na mimi nilifanya finishing tu.
ameniomba tubadilishe story lakini mimi nimekataa kujihusisha na mambo yao nimemwambia amalizane nalo yeye mwenyewe. na nimeamua kwamba nisiendelee kukaa hapa kwani anaweza kuwa na kinyongo.
hivi wakurya hii mila ya kutahiriwa bado wanaifanya haaa!!!!! sikujua kama bado inamashiko. mmh inabidi muache jameni.
cc Sista chakii 'Valentina' Asprin watu8 sungura1980 mwekundu Gefu IROKOS BADILI TABIA kuberwa miss wa kinyaru Nambe gfsonwin Ruttashobolwa Mentor atoto miss chagga Munkari Mapi jamiif amu King'ast Mamndenyi Heaven on Earth Baba Wawili 2012 Ennie Malafyale josephmasamaki bahatika SUZANE mwallu mshana jr charminglady matmafcha pipii ushiboy nameless girl Chimunguru Kiboko PetCash amu
Last edited by a moderator: