Fedha zilizosainiwa na Lugola sio Fedha zetu za gesi ya Helium? Sio kwamba wametolewa kafara kwa muda?

NAMBA MOJA AJAYE NCHINI

JF-Expert Member
Oct 29, 2019
8,512
17,417
Wanabodi za jioni!

Kutokana na aina ya utawala uliopo ni vigumu sana kwa waziri yeyote kusain mkataba wa mkopo bila idhini ya Rais!Najiuliza Kangi kapata wapi huu ujasiri?

Yaani asaini mkataba wa mkopo wa trillion ya mapesa bila Raisi kujua?sio kwamba hii ni fiction ya kuhalalisha kupitishwa kwa fedha fulani kwenye mfumo?

Nimemsikia Raisi akisema eti hiyo miradi itaendelea bila kusitishwa baada ya kusainiwa!Ina maana Hata yeye hawezi kuuvunja huo mkataba sasa kuwatumbua wakina lugola hakuna maana kama mkataba umeshainiwa!

Mi nafikiri fedha hizi ni mkopo wenye dhamana kubwa sana ndipo Tetesi ya Ndugu yangu Synthesizer naanza kuiamini Kuwa reserve yetu ya Helium inatumika kuhalalisha mikopo mikubwa ya ghafla kama hii.

Ref: Tetesi: - Tanzania inalipwa mabilioni ya fedha toka nje ambazo zimefanywa siri na serikali hazina rekodi, tumenunulia ndege, na kujenga SGR na Stiegler nk

Nadhani na fedha za uchaguzi ujao zimepatikana kwa stahili hii ya kuwatoa waziri na katibu wake kafara!

Kwasababu hata sababu za Kuenguliwa kwao hazijitoshelezi kabisa!

Eti Bunge halijapitisha wakati miradi mikubwa yote Bunge halikuhusika kupitisha Bajeti zake awamu hii ya tano!!

Wadau naombeni tusaidiane kutafakari sinema hii kali ya mwaka mpya!!!!
 
Mkuu usifukunyue sana kwani we ni mgeni na Serikali ya CCM?
Kutoana kafara ndiyo zao. Umemsahau Msabaha jinsi walivyo muingiza king wakamtumia?

Tatizo watu jamii ya kina Kangi hawaijui siasa vizuri, wakidakishwa nyadhifa wanatumia kama bakora na kujimwambafy kiasi kwamba siku akitemeshwa mzigo inabaki aibu!!
Cheo ni dhamana tu, unavyotekeza majukumu yako waheshimu walioko chini yako coz things might turn upside down overnight!
 
Haiwezekani Waziri asaini mkataba wa zaidi ya tirioni moja bila raisi kujua, haiwezekani abadani.
Ndo mana nafikiri kuwa ni kuhalalisha fedha fulani kuingia kwenye mfumo wetu!kuelekea oktoba 2020 lazima serekali ijisafisha kwa kujali wananchi na watumishi wa umma ili kuwateka wapate kura nyingi oktoba mwaka huu!!
 
Haiwezekani Waziri asaini mkataba wa zaidi ya tirioni moja bila raisi kujua, haiwezekani abadani.

Magufuli anatuona sisi ni viazi, yeye ndio anayesaini viongozi kusafiri kwenda nje ya nchi, kwanini hakuwauliza wanaenda kufanya nini?

Na hizo pesa zilipoingia bank kuu hakujua? Na je alipojua hakuweza kuuliza zimetoka wapi?

Sasa kama watu wanaweza kwenda nje ya nchi na kusaini hela yote hiyo bila mamlaka husika kutaarifiwa, hiyo nidhamu inayosifiwa kuwa imerejea serikalini toka yeye aingie madarakani inatokea wapi?

Kama kweli Magufuli ananyoosha nchi na sio kukomoa wasuomuabudu, ngoja tuone kama hao akina Kangi watachukuliwa hatua za kisheria kwa matumizi mabaya ya madaraka.
 
Kwa maelezo yake nikm Kangi na wenzake, wamefanya matumizi MABAYA ya Ofisi,kiasi cha kuliingizia Taiga Hasara ...


Watu wa aina hii, si huwa wanachukuliwa Hatua za Kisheria ??

Kwanza kusafiri bila ruhusa yake ??

Kusaini mikataba ( hasi ) .


Alafu hata siku haijaisha.... Kuna WATU wamepewa Vyeo



JIWE NI LIIGIZAJI.
 
Kwa maelezo yake nikm Kangi na wenzake, wamefanya matumizi MABAYA ya Ofisi,kiasi cha kuliingizia Taiga Hasara ...


Watu wa aina hii, si huwa wanachukuliwa Hatua za Kisheria ??

Kwanza kusafiri bila ruhusa yake ??

Kusaini mikataba ( hasi ) .


Alafu hata siku haijaisha.... Kuna WATU wamepewa Vyeo



JIWE NI LIIGIZAJI.
Mnaumiza vichwa vyenu,message ya magufuli ilikuwa inawalenga wanyonge sio ninyi
 
Magufuli anatuona sisi ni viazi, yeye ndio anayesaini viongozi kusafiri kwenda nje ya nchi, kwanini hakuwauliza wanaenda kufanya nini?

Na hizo pesa zilipoingia bank kuu hakujua? Na je alipojua hakuweza kuuliza zimetoka wapi?

Sasa kama watu wanaweza kwenda nje ya nchi na kusaini hela yote hiyo bila mamlaka husika kutaarifiwa, hiyo nidhamu inayosifiwa kuwa imerejea serikalini toka yeye aingie madarakani inatokea wapi?

Kama kweli Magufuli ananyoosha nchi na sio kukomoa wasuomuabudu, ngoja tuone kama hao akina Kangi watachukuliwa hatua za kisheria kwa matumizi mabaya ya madaraka.
Jamani Magufuli alikuwa anawahutubia wanyonge siyo ninyi, msio wanyonge mpuuzeni tu maana ni kawaida yake kujitoa ufahamu ili kuwagribu wanyonge
 
Magufuli anatuona sisi ni viazi, yeye ndio anayesaini viongozi kusafiri kwenda nje ya nchi, kwanini hakuwauliza wanaenda kufanya nini?

Na hizo pesa zilipoingia bank kuu hakujua? Na je alipojua hakuweza kuuliza zimetoka wapi?

Sasa kama watu wanaweza kwenda nje ya nchi na kusaini hela yote hiyo bila mamlaka husika kutaarifiwa, hiyo nidhamu inayosifiwa kuwa imerejea serikalini toka yeye aingie madarakani inatokea wapi?

Kama kweli Magufuli ananyoosha nchi na sio kukomoa wasuomuabudu, ngoja tuone kama hao akina Kangi watachukuliwa hatua za kisheria kwa matumizi mabaya ya madaraka.
Hili jambo lina ukakasi sana,kuna kitu kinafichwa hapo!
 
Back
Top Bottom