Fedha 'zilizofichwa' zitarudishwaje kwenye mzunguko? Wataalamu wa uchumi tiririkeni

Petro E. Mselewa

JF-Expert Member
Dec 27, 2012
10,196
25,516
Rais Dr. John P. Magufuli amewataka wote walioficha kiasi kikubwa cha fedha wazirejeshe kwenye mzunguko. Imeripotiwa kuwa wapo walioziondoa fedha zao kwenye benki na kuzificha nyumbani kwao.

Wataalamu wa mambo ya uchumi tusaidieni,fedha hizo zitarejeshwaje kwenye mzunguko na zitasaidiaje kupunguza ukata wa fedha wa sasa? Uchumi si fani yangu,mniwie radhi kama nimeuliza swali rahisi au la kitoto. Kuuliza si ujinga!
 
Am not one either but here's a quick observation/analysis.

Kama wameziondoa bank, basi hizo hela zimeshakuwa changed to another currency, most likely the US dollar since its very stable na haiflactuate sana kwahiyo it holds its value for a long time, pia its easy to store/ficha (e.g compare kushika dollar 1000 na tsh milioni moja).
Another scenario is kuinvest kwenye assests which can be liquidated easily at a later time.

So either way kuchange currency nikujipotezea muda.

Ukata wa sasa ni kutokana na serikali kuhamisha fedha zake kwenda BOT, na pia kwasasa BOT wanause monetary contractionary policy.
 
Unajua kweye uchumi kuna kitu kinaitwa money supply yaani Ms ambayo inakuwa defined in m1,M2 and M3 nikianza na M1 in CC + DD yaani currency in circulation plus's demand deposit hivyo magufuli Yuki right kuzungumzia CC iongezeke ili kushusha interest rate na investments kuongezeka. Nampongeza mchumi anayemshauri he real knows.]
 
Rais Dr. John P. Magufuli amewataka wote walioficha kiasi kikubwa cha fedha wazirejeshe kwenye mzunguko. Imeripotiwa kuwa wapo walioziondoa fedha zao kwenye benki na kuzificha nyumbani kwao.

Wataalamu wa mambo ya uchumi tusaidieni,fedha hizo zitarejeshwaje kwenye mzunguko na zitasaidiaje kupunguza ukata wa fedha wa sasa? Uchumi si fani yangu,mniwie radhi kama nimeuliza swali rahisi au la kitoto. Kuuliza si ujinga!
Kapotoka! Wao si wajinga kiasi hicho... kilichofichwa ni USD/EURO kwa sababu nyingi
-easy to carry
-internationally accepted
-stability
-etc
 
....mapesa mengi yaliondolewa kwenye mzunguko mwaka jana wakati wa uchaguzi....na pia baada ya hadithi ya kukamata mafisadi iliposikika....mapesa haya mengi yametumika kununua majumba ya kifahari mjini....na hakika nadhani si wengi wenye mapesa haya cash manyumbani....

...Ilikuwa vigumu kuyaweka mapesa haya ya madafu kwenye dola(USD)maana ni rahisi ku monitor bureau de change...pia ingekua vigumu kuyaweka mapesa haya kwenye mabenki....maana pia ni rahisi kwa serikali ku monitor mabenki (rejea issue ya mkombozi bank na mapesa ya escrow)....pia ni vigumu kuyapeleka nje ya nchi mapesa haya ...maana monitoring pia ni kubwa(kwa maana ya money laundering)...

..hivyo njia pekee kubwa iliyotumika ni kuyatumia mapesa haya kununua fixed assets....kwa maana ya majumba ya bei mbaya...ama magari ya kifahari....jambo ambalo limekua so prevalent kwa TZ (haswa dar) kwa kipindi kifupi cha kuelekea uchaguzi na hata baada ya uchaguzi...

...Nimewahi kwenda kuulizia bei za nyumba mpya za NHC (zile za mindu na kndoni) nikaambiwa nyumba zimejaa...wakati hata msingi haujaanza...na bei zake zilikua zinaanzia mil.200 na kuendelea....mtu wa sales akaniambia alijionea maajabu pale mtu alipokuja kununua nyumba (kwa cash money) yake...ya mke wake na watoto....zote zikiwa na thamani ya zaidi ya mil.200 kila moja....hiki ni kipindi cha kuelekea uchaguzi mwaka jana....sasa tupate picha....
 
Back
Top Bottom