FEDHA ZAMWAGWA KUWAHONGA WABUNGE - Kashfa ESCROW Acc. bungeni

Candid Scope

JF-Expert Member
Nov 8, 2010
11,886
6,883
BDspc.jpg


FEDHA ZAMWAGWA KUWAHONGA WABUNGE
Pia habari za kuaminika zinaeleza kuwa mmoja wa wabunge alionekana akigawa fedha kwa wabunge wenzake kati ya Sh milioni mbili, tano hadi milioni 50 kuwashawishi wapinge Bunge kujadili kashfa ya IPTL na kama litajadili wahakikishe wanawakingia kifua wote watakaobainika kuhusika ama katika kuchotama kupata mgawo wa fedha za akaunti ya Tegeta Escrow.

Chanzo: Nipashe kichwa cha habari
"Wabunge CCM wagawanyika mbele ya Mangula"
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom