Hii ni hatari wezi wameamua sasa kutafuna hicho hicho kidogo kinacho tengwa kwa ajili ya Ikulu. Sasa inabidi rais ashtuke hapa tafsiri yake ni kwamba rais ameng'atwa alikuwa amesinzia sasa inabidi aamke kukabiliana na hawa panya.
Mnashangaa apa usikute iyo ni hela ya trip mbili tuu za mkuu!
IKulu leo ama kesho itakuja na waraka kukanusha haya madai
Jamani Mkapa alivyoondoka Ikulu aliacha pesa mingi mno!
Watanzania mna moyo...
umerudi! habari za siku tele?Kuna magazeti ya kuamini lkn sio Mwanahalisi. Udaku mtupu.
ukisikia jambazi kapigwa roba na kibaka ndio hapo sasa.