Fedha za DHAMANA

Hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaa utambiwa alikuwa mjasiria mali ndugu.Kama yule mwingine alivyosema pesa zake ni za kurithi toka kwa mababu.
 
Hivi billioni tatu ni dola ngapi za US just curious?

About US$ 2.4 million.....just twice-plus Chenge's offshore amount....that is perhaps why Chenge referred to his amount as "vijisent".... in an attempt to inform the public that his was just Musa's; Filauni's was on its way teh teh teh teh.
 
Ukijarabu kupiga mahesabu, Yona alilipwa zaidi ya billioni hamsini kama mshahara na serikali.???????? kweli hii inawezekana??? Tanzania?????

mwanzoni mwa miaka ya themanini dola haikuzidi shilingi mia. na mishahara haikuzidi laki moja ya TZSH.
kazitoa wapi. Nyumba halipi morgage zote zimelipiwa keshi.???????????
Kweli watanzania tumeibiwa.
 
Let's give them a benefit of doubt and make some silly assumptions. Let's also make ourselves crazy by saying that Daniel Yona was getting a salary and fringe benefits equivalent to $1000 per month throughout the entire period he served as a civil servant. For one year, he would win $12,000 and for 40 years he would get a total of $480,000. Making a further funny thinking that he was not eating or paying any bill, the amount he would have in terms of cash and assets should not exceed $0.5m. But now the guy has over $2.4 in terms of assets. We don't know yet how much he owns terms of cash or other assets. If I therefore recommend that he should be asked to give an account of where he got the money, will I be wrong? Was he paying all the government taxi and levies? Will it be unfair to him if the public decides to take back its money i.e confiscate all the things he cannot account for?

I think this saga will continue to create more questions than anyone in this country can answer. I bet more drama is yet to come, let keep our squint eyes open!!
 
Si umeona Yona kajidhamini kwa viwanja vyenye jina lake.
Hapo hatujui miradi yake anayo miliki duh hawa kweli vigogo wana mipesa sana.
 
kitim tim juu ya kitimtim.
Hapo tumepewa mali za dar pekee bado kilimanjaro, mbeya na nchi za nje.
sijui kama mali za wanawe zimo ambazo ni mgongo wake.
kazi kweli. je Hawa walikuwa wafanyakazi wa serikali au ??? kichwa kinauma sana. Mbona chiduo kafa hana hata hizo mali kama na yeye aliiba ila du.. nilimsoma chiduo tangia msingi, makweta nao wanazo au kuna serikali mbili na watumishi wa umma wa serikali tafauti ndani ya Danganyika.??????
 
Hakimu Mwankenja alikuwa sahihi alipoweka sharti la dhamana kuwa shs. 3.9bn pesa taslimu. Anajua wanazo nyingi zaidi ya hizo. Na mapesa haya kwa kuwa bado wanayo, vyombo vya dola visiwaachie nafasi hawa jamaa. Wataivuruga NCHI.
 
Let's give them a benefit of doubt and make some silly assumptions. Let's also make ourselves crazy by saying that Daniel Yona was getting a salary and fringe benefits equivalent to $1000 per month throughout the entire period he served as a civil servant. For one year, he would win $12,000 and for 40 years he would get a total of $480,000. Making a further funny thinking that he was not eating or paying any bill, the amount he would have in terms of cash and assets should not exceed $0.5m. But now the guy has over $2.4 in terms of assets. We don't know yet how much he owns terms of cash or other assets. If I therefore recommend that he should be asked to give an account of where he got the money, will I be wrong? Was he paying all the government taxi and levies? Will it be unfair to him if the public decides to take back its money i.e confiscate all the things he cannot account for?

I think this saga will continue to create more questions than anyone in this country can answer. I bet more drama is yet to come, let keep our squint eyes open!!

We have discussed these peoples assets lakini does anybody know about there liabilities or ability to pay loans and mortgages both inside and outside the country???

I think we are being a bit biased here....
 
kwani madini waliuza bure, hiyo exemption mnaambiwa nyinyi, kumbe wenzenu ndio share zao. Na sikazi hayo makampuni ya madini ni ya kwao, hiyo kuwaambia ni Barrick ya canada, sijui Ashanti Gold Mine etc, ni trade name.
bye bye
 
Mramba je hayo ni majina tu aliyotumia kuwekeza fedha zake au ni maswahiba aliwatumia kutuibia . tusipigwe mchanga kwa kuleta hati zilizo na majina mbalimbali huo ni utamaduni wa viongozi wetu kutumia majina tofauti kuficha mali. Je hao aliochukua mali zao wakichunguzwa itakuwa ni zao au vivuli kazi imeanza na naomba isiishe.. Jf dar fuatiliene kwa ukaribu. Turn every stone every angle.
 
kama Apson alikuwa one of them then what should we expect.
hii ni hali mbaya sana kwa nchi. mkuu wa usalama wa taifa naye ni mmoja wa mafisadi???
Tutapata wapi ukweli???? Kazi takatifu imefanywa kazi haramu
 
Let's give them a benefit of doubt and make some silly assumptions. Let's also make ourselves crazy by saying that Daniel Yona was getting a salary and fringe benefits equivalent to $1000 per month throughout the entire period he served as a civil servant. For one year, he would win $12,000 and for 40 years he would get a total of $480,000. Making a further funny thinking that he was not eating or paying any bill, the amount he would have in terms of cash and assets should not exceed $0.5m. But now the guy has over $2.4 in terms of assets. We don't know yet how much he owns terms of cash or other assets. If I therefore recommend that he should be asked to give an account of where he got the money, will I be wrong? Was he paying all the government taxi and levies? Will it be unfair to him if the public decides to take back its money i.e confiscate all the things he cannot account for?

I think this saga will continue to create more questions than anyone in this country can answer. I bet more drama is yet to come, let keep our squint eyes open!!

nadhani ni vema tuwe wakweli katika jambo hili. yona hajawa civil servant. alifanya kazi benki kuu ilipoanziahwa, akaanzisha thb,akawa mkurugenzi wa ifm na baada ya hapo akahamia afrika ya magharibi akifanya kazi za kimataifa kwa miaka mingi. baada ya afrika ya magharibi alipelekwa vanuatu- visiwa vya mbali sana - kuendelea na kazi za kimataifa kabla ya kustaafu.

uawaziri ililuwa kazi baada ya kustaafu tu. labda tungeuliza huko nchi za nje alikuwa analipwa kiasi gani na kama hakuwa mlevi, kama alivyo hivi sasa, aliweza ku save kiasi gani.

macinkus
 
Jamani nimeshangaa ama ni ushamba wangu, hivi shamba/kiwanja chenye thamani zaidi ya bilioni moja makongo hii niijuayo mimi kinakuwa kikoje?

Kwani nijuavyo viwanja Makongo vinapatikana hata kwa milioni 20 hicho cha bilioni kiko juu ya almasi?? Nikatika hali ya kutojua na kushangaa tu!
 
Jamani nimeshangaa ama ni ushamba wangu, hivi shamba/kiwanja chenye thamani zaidi ya bilioni moja makongo hii niijuayo mimi kinakuwa kikoje?

Kwani nijuavyo viwanja Makongo vinapatikana hata kwa milioni 20 hicho cha bilioni kiko juu ya almasi?? Nikatika hali ya kutojua na kushangaa tu!

Kuna mahali nimeuliza swali kama hilo. Hivi hivi viwanja vina mafuta sisi hatujui au vipi. May be valuation system yetu ina matatizo, ukichukulia kwamba ardhi TZ ni mali ya serikali.

Kama kuna viwanja vyenye thamani ya 1 billion, nafikiri uchumi wetu usingekuwa hoi kiasi hiki. Hiyi ina maana kwamba serikali inaweza kuuza viwanja 30 tu na kupata pesa za kuendesha wizara mmoja.

Nafikiri itabidi tuwe tunatembelea Bongo mara kwa mara la sivyo tutaachwa kwenye mataa kwa kufikiria tunasave huku ughaibuni kumbe ni visenti tu.
 
Inasemekana Yona ana shule pale Makongo na pia ile TATEDO ya Kijitonyama ni yake pia!
Ukistaajabu ya Musa,..........
 
nadhani ni vema tuwe wakweli katika jambo hili. yona hajawa civil servant. alifanya kazi benki kuu ilipoanziahwa, akaanzisha thb,akawa mkurugenzi wa ifm na baada ya hapo akahamia afrika ya magharibi akifanya kazi za kimataifa kwa miaka mingi. baada ya afrika ya magharibi alipelekwa vanuatu- visiwa vya mbali sana - kuendelea na kazi za kimataifa kabla ya kustaafu.

uawaziri ililuwa kazi baada ya kustaafu tu. labda tungeuliza huko nchi za nje alikuwa analipwa kiasi gani na kama hakuwa mlevi, kama alivyo hivi sasa, aliweza ku save kiasi gani.

macinkus

Sikuelewi, IFM, THB hazikuwa mali za serikali?????
Je Yona popote alipokuwa alikuwa hafanyi kazi ya serikali ya Tanzania???
Kwa mshahara wowote utakaompa hawezi kuwa na mali za zaidi ya billion tatu.
Biashara gani alifanya na wapi alilipa kodi na amelipa kiasi gani cha kodi????
Wapi alitoa mtaji????
Huyu jamaa ni mwizi tangia zamani sana yeye na mramba. Ukinywa damu ya mtu huwezi kuacha............
 
We have discussed these peoples assets lakini does anybody know about there liabilities or ability to pay loans and mortgages both inside and outside the country???

I think we are being a bit biased here....

Hey come on! Do you want us to embark on divine and witchcraft business? May be Shekh Yahya Hussein can try.

My reflection was just "food for thought" based on the info we which is in the public domain. They just presented the documents to the magistrate themselves. If they want (Yona and Mramba), they can also present their liabilities. But I guess, there is no reason for that and neither they nor we, will be interested in such info.This is because if they followed the ethics regulation (may be wataalamu washeria watasaidia) and wanted to, all the info they are giving now should have been in the public domain (kwenye tume ya maadili ya umma). But also be fair to yourself by just taking a break before responding; then you should have noted that I basically said that if they fail to account for the things they own, then they will be bound to surrender such things back to the public.
 
nadhani ni vema tuwe wakweli katika jambo hili. yona hajawa civil servant. alifanya kazi benki kuu ilipoanziahwa, akaanzisha thb,akawa mkurugenzi wa ifm na baada ya hapo akahamia afrika ya magharibi akifanya kazi za kimataifa kwa miaka mingi. baada ya afrika ya magharibi alipelekwa vanuatu- visiwa vya mbali sana - kuendelea na kazi za kimataifa kabla ya kustaafu.

uawaziri ililuwa kazi baada ya kustaafu tu. labda tungeuliza huko nchi za nje alikuwa analipwa kiasi gani na kama hakuwa mlevi, kama alivyo hivi sasa, aliweza ku save kiasi gani.

macinkus

Naomba wewe utwambie alikuwa analipwa kiasi gani kwa mwezi hadi aweze kujipatia za zaidi ya Shs 3bn. Kama na wewe hujui basi usilaumu badala yake ungefanya tafakuri kama niliyofanya mimi bila kumlaumu mtu yeyote, na kutuonesha kuwa kwa kazi alizofanya kipindi chote cha utumishi wake basi anastahili kumiliki zaidi ya 3bn na vichenji vingine ambavyo hatujui.
 
We have discussed these peoples assets lakini does anybody know about there liabilities or ability to pay loans and mortgages both inside and outside the country???

I think we are being a bit biased here....

Nafikiri kwa hili si zani kama wanaweza onewa maana naamini waliandikisha mali walipoingia kwenye uongozi pamoja na liabilty zao ,so kama wamepata
millions times baada ya kuwa viongozi lazima waulizwe na wachunguzwe wamepataje maana ni Huyu huyu mramba alieyesema ndege ya Rais lazima inunuliwe ! sasa interest behind hatujui yawezekana vimgao vyake alikuwa anatetea ,suala la kukopa bwana hapo hamna kitu labda kama alikuwa anafanya Money Laundering tuu ! Kama BM alivyochota NBC na ANBEN for sure hawa wameiba tuuu!
 
Back
Top Bottom