Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,176
- 79,360
Wajameni mei naomba kusema haya, ile 3% ya nyongeza za mishahara haina tija kwa wafanyakazi na ningeshauri hizo 29 mio. pounds zingeelekezwa katika kuboresha mishahara ya wafanyakazi! maana hiyo ndiyo njia pekee ya kuwekeza katika uchumi wa nchi hii kwa sasa! ikumbukwe itasisimua uchumi maana matumizi yataongezeka na kodi zaidi itakusanywa (wafanyakazi ndio walipa kodi nchi hii)!