Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,315
- 33,111
BAJETI ina matumizi mengi ya kawaida kuliko Matumizi ya maendeleo ya nchi?
Hivyo kweli tutaendelea
nchi yetu kiuchumi? Bajeti aliyotoa Waziri wa Fedha na Mipango Dkt Mwigulu ili ipitishwe na Wabunge ni bajeti mbaya haifai kupitishwa Wabunge.
Tunamuomba Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu atueleze Shilingi Trilioni 11.93 zitatumika kwa ajili ya Matumizi yapi ya kawaida? Wakati pesa aliyoweka ya Maendeleo ni ndogo sana Shilingi Trilioni 1.02.
Maendeleo gani yatakayoweza kuifanikisha Tanzania kwa Pesa ya Shilingi Trilioni 1.02.? Hebu atufafanulie zaidi Mheshimiwa Waziri wa Fedha na Mipango Dkt Mwigulu.