RICH MAVOKO
Member
- Dec 10, 2013
- 35
- 16
Ni ukweli ulio dhahiri kuwa fedha inaendesha maisha yetu hali kadharika hata mahusiano katika maisha yetu ya kila siku.WANAUME,tumekuwa tukifanya kazi kwa bidii ili kutafuta pesa kwa ajili ya maisha na wenzi wetu hali hii hutufanya kuwa busy sana na pengne tunalazimika kuwa mbali na wenzi wetu,bila kujali muktadha wa ubusy wetu wanawake huona kama wametengwa au humjali hali ambayo hupelekea mwanamke kutafuta mtu wa kumpa kampani na kumliwaza kwahyo ubusy wa kutafuta pesa unaweza kusababisha kuchapiwa.WANAWAKE,dada zetu hii tabia ya kupenda ya kupenda fedha inauza utu wenu na kuwafanya muonekane kama kiumbe cha starehe