boma2000
JF-Expert Member
- Oct 18, 2009
- 3,280
- 310
Kuna vikao kati vya ma-CEOO wa mabenki na uongozi wa BOT nini kifanyike ili fedha walizotengeneza ziweze kutumika katika miamala yetu yaani ATM machines. Fedha hizi mpya ni tofauti kwa size na za zamani. Swali ni Je kama hizo fedha hazita fit kutumika/wa na ATMs zetu zitarudiwa kuchapishwa? au watang'oa ATMs zote na kuweka mpya?
Nitajitahidi kuwapa update za noti mpya kadiri nitakavyozipata.
UPDATE
BOT walikubaliana na mabenki nchini kutoa chip maalumu zitakazo fungwa kwenye ATM ili ziendane na size ya noti mpya. Kampuni inayosambaza na kufunga hizo chip tutaifahamu hivi punde.
napenda kuamini kuwa BOT wakati wanatengeza noti mpya walitakiwa kujua noti lazima ziwe compatible na ATM, hivyo nahizi kuna kamchezo makusudi kamefanywa na watu fulani wakijua watanufaika baadae. chunguza kwa undani pia kampuni itakayotoa hizo chip, nani atagharamikia