bmk
JF-Expert Member
- Jan 27, 2015
- 571
- 857
Hapa mbeya mjini kuna kitu kinaendelea, kiukweli kwa mtu mwenye upembuzi yakinifu, utajiuliza maswali mengi sana?
Mojawapo ni hili "Fedha hizi zinazotolewa kama maji mbeya mjini hasa makanisani, mitaani n.k n.k" kwa kutuma watu ama kuwepo yeye mwenyewe zinatoka wapi? na zimeidhinishwa na nani?
Ni wazi kuwa ni jambo jema kutoa michango kanisani, mitaani hata kuwasaidia watu, lakini hapa mbeya Miondombinu hasa barabara hovyo yumkini kuliko hata mkoa wowote nyanda za juu kusini. Lakini kwa watu waliopo mbeya wanaweza kuniprove right kuwa Madam Tulia amekuwa akimwaga pesa sana ama kwa yeye mwenyewe/kuwatuma watu.
SWALI: Anatoa wapi hizi pesa?
Mojawapo ni hili "Fedha hizi zinazotolewa kama maji mbeya mjini hasa makanisani, mitaani n.k n.k" kwa kutuma watu ama kuwepo yeye mwenyewe zinatoka wapi? na zimeidhinishwa na nani?
Ni wazi kuwa ni jambo jema kutoa michango kanisani, mitaani hata kuwasaidia watu, lakini hapa mbeya Miondombinu hasa barabara hovyo yumkini kuliko hata mkoa wowote nyanda za juu kusini. Lakini kwa watu waliopo mbeya wanaweza kuniprove right kuwa Madam Tulia amekuwa akimwaga pesa sana ama kwa yeye mwenyewe/kuwatuma watu.
SWALI: Anatoa wapi hizi pesa?