February 24, 2020
Mahakama Kuu ya Tanzania siku ya Jumanne Februari 25 mwaka huu itasikiliza maombi ya aliyekua mbunge wa Singida Mashariki,Tundu Lissu anayetaka apate kibali cha kuukatia rufaa uamuzi wa Spika wa Bunge,Job Ndugai kumvua ubunge.
Wakili Alute Mughwai ambaye ni kaka yake Lissu akizungumza na Mwananchi nyumbani kwake jijini hapa amesema maombi hayo ni kupinga uamuzi wa Jaji Silius Matupa wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam uliotolewa September 2019.
Source: MCL Digital
Mahakama Kuu ya Tanzania siku ya Jumanne Februari 25 mwaka huu itasikiliza maombi ya aliyekua mbunge wa Singida Mashariki,Tundu Lissu anayetaka apate kibali cha kuukatia rufaa uamuzi wa Spika wa Bunge,Job Ndugai kumvua ubunge.
Wakili Alute Mughwai ambaye ni kaka yake Lissu akizungumza na Mwananchi nyumbani kwake jijini hapa amesema maombi hayo ni kupinga uamuzi wa Jaji Silius Matupa wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam uliotolewa September 2019.
Source: MCL Digital