Mkwawa
JF-Expert Member
- Jun 8, 2011
- 1,334
- 1,464
[HASHTAG]#Habari24UPDATES[/HASHTAG], [HASHTAG]#KIVUMBIKINONDONI2018[/HASHTAG]:
"Yaani nyinyi polisi muachie CCM dakika tano tu wacheze ngoma siku ya tarehe 17 hawa jamaa ni weupe, na polisi ndugu zangu safari hii mtuandalie magereza mtatufunga wote haki ya Mungu safari hii haibiwi mtu kura hiyo nawaambia mtatuua. Kama tumeweza kupona risasi 38 sasa tupo tayari kwa lolote, haiwezekani wanaume na wanawake wa mageuzi tukafanywa sisi kama ni wake za mtu haiwezekani. Wabunge wetu wanafungwa, wanafukuzwa Bungeni, madiwani wanalazimishwa kuhama chama, kila siku viongozi wa upinzani ni polisi na mahakamani"
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, kampeni za Uchaguzi, Magomeni,Kinondoni leo.
"Yaani nyinyi polisi muachie CCM dakika tano tu wacheze ngoma siku ya tarehe 17 hawa jamaa ni weupe, na polisi ndugu zangu safari hii mtuandalie magereza mtatufunga wote haki ya Mungu safari hii haibiwi mtu kura hiyo nawaambia mtatuua. Kama tumeweza kupona risasi 38 sasa tupo tayari kwa lolote, haiwezekani wanaume na wanawake wa mageuzi tukafanywa sisi kama ni wake za mtu haiwezekani. Wabunge wetu wanafungwa, wanafukuzwa Bungeni, madiwani wanalazimishwa kuhama chama, kila siku viongozi wa upinzani ni polisi na mahakamani"
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, kampeni za Uchaguzi, Magomeni,Kinondoni leo.