Februari 11: Siku ya Kimataifa ya Wanawake na Wasichana katika Sayansi

beth

JF-Expert Member
Aug 19, 2012
3,877
6,326
Katika miongo kadhaa iliyopita, Mataifa na Jumuiya za Kimataifa zimefanya jitihada nyingi katika kuwatia moyo na kuwashirikisha Wanawake na Wasichana katika Sayansi.

Wakati ulimwengu unaendelea kukabiliana na COVID-19 na janga la Mabadiliko ya TabiaNchi, ushiriki kamili wa Wanawake na Wasichana katika Jamii za Sayansi na Teknolojia ni muhimu zaidi kuliko awali.

Huu ni wakati wa kutambua michango ya wanawake katika Utafiti na Uvumbuzi, kuvunja dhana potofu na kupinga Ubaguzi dhidi ya Wanawake na Wasichana katika Sayansi.

=======

Taking on the greatest challenges currently facing the global community will mean harnessing all talent. As the world continues to grapple with COVID-19 and the critically important climate crisis, the full and equal participation and leadership of women and girls in the science and technology communities is more important than ever. Now is the time to recognize women’s contributions in research and innovation, smash stereotypes and defeat discrimination against women and girls in science.

Globally, only 33 per cent of researchers are women, and they are awarded less research funding than men, and are less likely to be promoted. In the private sector too, women are less present in company leadership and in technical roles in tech industries. Women account for just 22 per cent of professionals working in artificial intelligence and 28 per cent of engineering graduates. These glaring underrepresentations limit our ability to find inclusive, sustainable solutions to modern problems and build a better society for all.

Last year, at the Generation Equality Forum, the Action Coalition on Technology and Innovation was launched, bringing together governments, private sector companies, the UN system and civil society in order to make concrete commitments to women and girls in STEM. By 2026, the Action Coalition aims to double the proportion of women working in technology and innovation, and ensure that women and girls participate fully in finding solutions to the largest and most complex problems of our lives.
 
Katika miongo kadhaa iliyopita, Mataifa na Jumuiya za Kimataifa zimefanya jitihada nyingi katika kuwatia moyo na kuwashirikisha Wanawake na Wasichana katika Sayansi.

Wakati ulimwengu unaendelea kukabiliana na COVID-19 na janga la Mabadiliko ya TabiaNchi, ushiriki kamili wa Wanawake na Wasichana katika Jamii za Sayansi na Teknolojia ni muhimu zaidi kuliko awali.

Huu ni wakati wa kutambua michango ya wanawake katika Utafiti na Uvumbuzi, kuvunja dhana potofu na kupinga Ubaguzi dhidi ya Wanawake na Wasichana katika Sayansi.

=======

Taking on the greatest challenges currently facing the global community will mean harnessing all talent. As the world continues to grapple with COVID-19 and the critically important climate crisis, the full and equal participation and leadership of women and girls in the science and technology communities is more important than ever. Now is the time to recognize women’s contributions in research and innovation, smash stereotypes and defeat discrimination against women and girls in science.

Globally, only 33 per cent of researchers are women, and they are awarded less research funding than men, and are less likely to be promoted. In the private sector too, women are less present in company leadership and in technical roles in tech industries. Women account for just 22 per cent of professionals working in artificial intelligence and 28 per cent of engineering graduates. These glaring underrepresentations limit our ability to find inclusive, sustainable solutions to modern problems and build a better society for all.

Last year, at the Generation Equality Forum, the Action Coalition on Technology and Innovation was launched, bringing together governments, private sector companies, the UN system and civil society in order to make concrete commitments to women and girls in STEM. By 2026, the Action Coalition aims to double the proportion of women working in technology and innovation, and ensure that women and girls participate fully in finding solutions to the largest and most complex problems of our lives.
Dah,wanadamu bwana wanapewa pipi ambazo zinaozesha meno wanakenua,huku dhahabu inaenda,na genocide inaendelea,very stupid of us.Siku inatusaidia nini hasa?Shame on us.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom