FineForever
JF-Expert Member
- Apr 12, 2017
- 1,777
- 2,353
HahahaaaNilikuwa nimeshikilia tu kengele zangu hapa mkuu.
HahahaaaNilikuwa nimeshikilia tu kengele zangu hapa mkuu.
Padri mcharo yuko kawekwa ndani na masala wanajilia kiboga
Mwache huyo..atakufa bure..leo wamepigwaa uje..Kuna mmoja humu nilimuambia come back after 90 mins sijui ameshaenda kukojoa akalale yule ngoja nimtafute
Acha wafu wazikane wenyewe na wenye kuangamia na waangamie. Na wale wanaopona walane wenyewe sisi tuendelee kupiga mvinyo. Mkuu mwekundu hiyo ni zekaria ngapi ? . Karibu tuendelee kupiga mvinyo!. Hao jamaa wakipigwa na Valencia(na hawawezi kupona) tutawaacha point 22. Yule Guedes na mwenzake Rodrigo hawawezi kuwaacha.Second half na dakika 15 za mwisho Barcelona hua wanatisha sana
Wazee naweka score board
Gap ni point 19 Red Giant alinirekebisha ila mimi naongeza moja iwe 20
Nafasi ya kwanza yaani mabingwa laliga
Kuna mmoja humu nilimuambia come back after 90 mins sijui ameshaenda kukojoa akalale yule ngoja nimtafute
Hili Goli la mwisho daah..haya tu.Kipa kaamua tu atulize mwili maana hamna namna ya kuzuia vitu kama hivi.Ukisema ujaribu season nzima unamaliza upo kitandani.LIONEL MESSI!!!!Kuna pasi flani ameipiga mpaka nikacheka kwa sauti kubwa saana.Wale Timu flani wakanimind sana...Just amaizing....
King messi
ni kwasababu madrid wanamuhitaji Neymer sana kuliko tulivyomuhitaji sisi kipindi anacheza barcelonaI still don't understand why Neymar's departure is affecting Real Madrid instead of Barcelona
Ha ha haI still don't understand why Neymar's departure is affecting Real Madrid instead of Barcelona
HahahaaaI still don't understand why Neymar's departure is affecting Real Madrid instead of Barcelona
Hii taarifa n mpya mkuu?
Ndiyo imetolewa muda sii mwingiHii taarifa n mpya mkuu?