FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Screenshot_2017-11-19-06-35-17-1.png
 
paulinho kama vile mvinyo ambao umelala week nzima yani anazidi kuwa mtamu huyu jamaa ananishangaza sana
Kuna jamaa ana channel you tube. Inaitwa Talk Barcelona hakuwahi kumkubali na bado hamkubali Paulinho kwa sababu za kuwa flop, ananyima madogo play time na sabb nyingine. Lakini day in day out Paulinho ana mprove wrong tu.
 
Magazine za Spain,zinasema kwamba Suarez kwa namna ya uchezaji wake he gets a lot of scoring chances unlike any player-ndio maana Velverde hawezi kumuweka bench.Na sasa kama ameanza to put away those chances then its bad news for the rest of La liga na the moment Dembele comes into the equation itakuwa double trouble.Real Madrid wameambiwa wajitayarishe kwa maumivu ya kutoweza defend title
 
Paulinho yupo poa

Ila kiungo cha Barca bado hairidhishi uefa watapata shida sana ,ile dominance,ubunifu haupo kama hapo awali .busquet anajitahidi sana kupunguza na kuficha udhaifu
Bado naona tukiwa na Iniesta na busquet tunakuwa na kiungo bora kuliko timu nyingi sana UEFA. Tuombe tu Rakitic au Sergio wawe kwenye form basi.
 
Screenshot_2017-11-19-18-40-30-1.png

Ter stegen ame save mara 19 kati ya ma shoot 20 ambayo yalikua 100% magoli

Mimi hua napenda kumuita the Berlin wall

Yeye ni very good at 1-1 situation na ana 89% ni unbeatable i.e hauwezi kumfunga mara nyingi ukiwa wewe (striker) na yeye kwenye short distance

Kipaji kingine cha Germany
 
Kweli kabisa Barca ni midfielders na strikers hii defence ni bonus mambo yanatakiwa kati na mbele
Me binafsi kama nilivyowahi kusema nyuma tatizo ni finishing na midfield lakini kwa uzoefu wangu jinsi tunavyocheza wingers (kushoto na kulia ) kumekufa hatuna kabisa winger
Ndio maana Dembele na usajili wa Griezman (left winger) kama ukikamilishwa itapendeza zaidi

In short tunakosa balance kwa sababu ya left winger (alikua anacheza Neymar) na kulia kumekufa kabisa no surprising attacks wala penetration kupitia kulia na kushoto anymore na ndio maana magoli mengi tuna force katikati ambapo kunakua na cluster of players hadi wanagongana wenyewe kwa wenyewe
 
Valencia won 2-0 against Español kuweka pressure kwa Barça. Mechi ijayo ni Barça vs Valencia. Ushindi dhidi ya Valencia utakuwa ni record nyingine kwa Barça na kujiwekea mazingira mazuri ya kuchukua La Liga

e7d089177bb8cd11a5b67d519b3b55d1.jpg
 
Gerard Piqué amepokea kadi ya tano ya manjano dhidi ya Leganes, hii inamaanisha kuwa hatacheza mechi ya Barcelona inayofuata dhidi ya Valencia.
Hii haitakuwa rahisi kwni Valencia wanacheza vizuri sana kwenye uwanja wao wa nyumbani. Je! Valverde atamtumia Umtiti pembeni mwa Vermaelen?
 
Mchezaji huyo wa Kibelgiji hajaliona dimba msimu huu na hawezi kuwa tayari kwa changamoto hiyo. Nini sasa suluhisho?
Hakuna majibu mengi kwani Javier Mascherano naye pia hayupo kwa sababu ni majeruhi.
Kwa mujibu wa Don Balon, hili ndilo wazo la Valverde: Kumtumia Nelson Semedo kama beki wa kati pembeni mwa Umtiti.
 
Kama itakuwa hivyo, basi Aleix Vidal atatumiwa kama beki wa pembeni kwani Sergi Roberto bado ni majeruhi.
Beki huyo nyota wa zamani wa Benfica ana kasi na ataweza kuwamiliki vema wachezaji wasumbufu wa Valencia.
Kwa upande mwingine, Umtiti atapewa jukumu kubwa la kumdhibiti Simone Zaza.
 
Gerard Piqué amepokea kadi ya tano ya manjano dhidi ya Leganes, hii inamaanisha kuwa hatacheza mechi ya Barcelona inayofuata dhidi ya Valencia.
Hii haitakuwa rahisi kwni Valencia wanacheza vizuri sana kwenye uwanja wao wa nyumbani. Je! Valverde atamtumia Umtiti pembeni mwa Vermaelen?
Busquets atacheza beki kiungo paulinho
 
View attachment 633753
Ter stegen ame save mara 19 kati ya ma shoot 20 ambayo yalikua 100% magoli

Mimi hua napenda kumuita the Berlin wall

Yeye ni very good at 1-1 situation na ana 89% ni unbeatable i.e hauwezi kumfunga mara nyingi ukiwa wewe (striker) na yeye kwenye short distance

Kipaji kingine cha Germany
Huyu huyu jamaa amekuwa moja ya makipa bora kabisa ulaya. Mi napendaga tu anavyopiga pasi. Kuna wachezaji wa ndani wa timu pinzani kwa baadhi ya timu atakuwa anawashinda idadi ya pasi.
 
Gerard Piqué amepokea kadi ya tano ya manjano dhidi ya Leganes, hii inamaanisha kuwa hatacheza mechi ya Barcelona inayofuata dhidi ya Valencia.
Hii haitakuwa rahisi kwni Valencia wanacheza vizuri sana kwenye uwanja wao wa nyumbani. Je! Valverde atamtumia Umtiti pembeni mwa Vermaelen?
Labda atapangwa mascherano pale kati.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom