Yeah ana 82.2% pass accuracy,Paulinho akipewa muda mwingi sana kwenye central position anaweza akampikuUmtiti ndio anaeongoza la liga yote kwa kutoa pass,wenyeji wanalalamika imekuaje defender aongoze-kwa mtindo wa tiki taka midfielders ndio wanatakiwa waongoze kwa ku spray passes left,right and centre-wanadai Velverde anakiuka principles za Barca kwa kuchukua ubingwa kwa mabavu na sio in style
Valencia wako vizuri, game ijayo tukisha hiyo tu. Kazi itakuwa nyepesi sanaHivi Madrid wameshauriwa wakitaka watupite laliga lazima waipite kwanza valencia ?
Alipewa offduty match hii hakucheza ,alicheza na Russia basiking yamemchosha ma kina iwobi na li mikel
Na sisi hua tunacheza according na match so wasikuogopesheValencia wako vizuri, game ijayo tukisha hiyo tu. Kazi itakuwa nyepesi sana
Ok nilidhani alichezaAlipewa offduty match hii hakucheza ,alicheza na Russia basi
Nilishasema hapa, kuwa ikifika January, 2018 tunaongoza ligi, waandike wameumia tu maana itakuwa hakuna namna tena.View attachment 633279
Madrid tumewapita point 11
Ili watukute inabidi au tunatakiwa tupoteze match 4 in a row
Na wao kati ya hizo match nne wawe wanashinda tu
Sasa piga tathmini team gani nne zinaweza kutusimamisha laliga mwaka huu?ikiwa hadi sasa hivi we are invincible tumebakiza match kama tatu nne tumalize round 1
"Apply cold water to burnt wound "