FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

In short point tatu zingine kibindoni
Tunawafuata Valencia tuwapige 3-0 then tunakua na 50% ...ushindi laliga loading
 
Umtiti ndio anaeongoza la liga yote kwa kutoa pass,wenyeji wanalalamika imekuaje defender aongoze-kwa mtindo wa tiki taka midfielders ndio wanatakiwa waongoze kwa ku spray passes left,right and centre-wanadai Velverde anakiuka principles za Barca kwa kuchukua ubingwa kwa mabavu na sio in style
Yeah ana 82.2% pass accuracy,Paulinho akipewa muda mwingi sana kwenye central position anaweza akampiku
 
Tatizo kocha wetu siku hizi anataka kua kama Maurinho anajihami sana huyu dogo Suarez angemchesha match 3 mfululizo tungeona kitu spectacular
 
Screenshot_2017-11-18-21-28-05-1.png

Madrid tumewapita point 11
Ili watukute inabidi au tunatakiwa tupoteze match 4 in a row
Na wao kati ya hizo match nne wawe wanashinda tu

Sasa piga tathmini team gani nne zinaweza kutusimamisha laliga mwaka huu?ikiwa hadi sasa hivi we are invincible tumebakiza match kama tatu nne tumalize round 1
"Apply cold water to burnt wound "
 
View attachment 633279
Madrid tumewapita point 11
Ili watukute inabidi au tunatakiwa tupoteze match 4 in a row
Na wao kati ya hizo match nne wawe wanashinda tu

Sasa piga tathmini team gani nne zinaweza kutusimamisha laliga mwaka huu?ikiwa hadi sasa hivi we are invincible tumebakiza match kama tatu nne tumalize round 1
"Apply cold water to burnt wound "
Nilishasema hapa, kuwa ikifika January, 2018 tunaongoza ligi, waandike wameumia tu maana itakuwa hakuna namna tena.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom